Habari na Matangazo

Mkurugenzi Mkuu Bodi ya Pamba Bwana Marco Mtunga akizungumza katika kikao cha Wakurugenzi wa Bodi za Mazao na Taasisi za Utafiti wa Kilimo(wapili kutoka kulia)

BODI ZA MAZAO NA TAASISI ZA UTAFITI WA KILIMO ZASHAURIWA KUWA NA MFUMO WA KIDIGITALI

Mkurugenzi Mkuu Bodi ya Pamba, Marco Mtunga, ameshauri Bodi za Mazao na Taasisi za utafiti wa Kilimo kuhakikisha wakulima wanakuwa na mfumo wa kidigitali ambao utamsaidia mkulima katika kuuza mazao yake na…

Soma Zaidi

MFUMO WA USIMAMIZI WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA UTAENDA KUIMARISHA VYAMA

Mfumo wa usimamizi wa Vyama vya Ushirika ulioanzishwa na Serikali kupitia Tume Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) utaenda kuimarisha vyama vya ushirika. Mwakilishi wa Katibu Tawala ambaye pia ni Katibu…

Soma Zaidi

SACCOS WEKEZENI KWENYE KILIMO - NAIBU WAZIRI MAVUNDE

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde, amevitaka Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) nchini kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali yenye fursa katika kilimo ili kuongeza mapato yao. Mhe. Mavunde…

Soma Zaidi

WATOA HUDUMA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA WATAKIWA KUWA NA VIBALI

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ametoa wito kwa makampuni ya watoa huduma kwenye Vyama vya Ushirika wenye uwezo wa kufanya kazi hiyo…

Soma Zaidi

TCDC NA ‘HANS NEUMANN STIFTUNG’ ZASAINI MAKUBALIANO

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Taasisi ya Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) zimesaini Randama ya makubaliano ya kuviimarisha Vyama vya Ushirika katika mikoa ya Mbeya, Songwe na…

Soma Zaidi
Washiriki wa Mafunzo ya MUVU katika picha ya pamoja Mkoani Mwanza

UFUNGUZI WA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA  MKOA WA MWANZA

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Emil Kasagala, leo tarehe 26 Oktoba 2022, amefungua  Mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU)  kwa upande wa Kanda ya Ziwa …

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo Mhe. Hussen Bashe kwenye picha ya pamoja na Makamisheni wa Bodi ya Tumea ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC)na Watendaji

WAZIRI BASHE AZINDUA BODI MPYA YA KAMISHENI YA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussen Bashe, leo tarehe 24/10/2022 amezindua Bodi mpya ya Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), uzinduzi ambao umefanyika katika Ukumbi wa Kilimo 4 Jijini…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Adam Malima akifunga Maadhimisho  ya kimataifa ya Ushirika wa Akiba na Mikopo (ICUD) MWanza

SACCOS WEKEZENI KWENYE UCHUMI WA VIWANDA - RC MALIMA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Adam Malima   ametoa wito kwa Wanaushirika wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo kuwekeza kwenye Uchumi wa Viwanda ili kukuza hali ya Viwanda Nchini. Ameeleza…

Soma Zaidi