Habari na Matangazo

SHINYANGA TUNAUHITAJI MAPEMA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA - RC MJEMA

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwenda  kufundisha Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) katika mkoa wa Shinyanga. Ameyasema hayo…

Soma Zaidi

WASIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA KANDA YA KASKAZINI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA VYAMA

Wasimamizi wa Vyama vya Ushirika Kanda ya Kaskazini wamepatiwa mafunzo ya mfumo mpya wa kieletroniki utakaosaidia kutunza nyaraka na kumbukumbu za kifedha na mali za Ushirika nchini na Tume ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi

TCDC KUIMARISHA USIMAMIZI NA UENDESHAJI SACCOS NCHINI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amefungua kikao kazi cha kujadili Usimamizi na Uendeshaji wa SACCOS kilichofanyika katika Ukumbi wa Ngome Holding…

Soma Zaidi
Washiriki wa Kikao kazi cha wadau wa zao la Chikichi kilichofanyika Mkoa wa Kigoma O7/10/2022 wakiwa katika picha ya pamoja

UANDAAJI WA UZALISHAJI, MASOKO NA USIMAMIZI WA  ZAO LA MCHIKICHI MKOANI KIGOMA

Tume ya maendeleo ya Ushirika Tanzania imeratibu na kufanya kikao kazi na wadau wa zao Mchikichi tarehe 07.10.2022, kilichofanyika ukumbi wa Chuo cha Kikuu cha Ushirika MoCU tawi la Mkoani Kigoma kwa lengo la…

Soma Zaidi

KAMATI YA KITAIFA YA KURATIBU HARAMBEE YA UJENZI WA ENEO LA MRADI WA KIWANDA CHA WANAWAKE YAZINDULIWA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania imeshiriki katika Uzinduzi wa Kamati ya Kitaifa ya kuratibu harambee ya ujenzi wa eneo la Mradi wa Kiwanda cha Wanawake Tanzania kilichoratibiwa 'Madirisha Women…

Soma Zaidi

ORODHA YA VYAMA VYA USHIRIKA VINAVYOFUTWA KWENYE REJISTA YA VYAMA VYA USHIRIKA TAREHE 26 JULAI, 2022.

ORODHA YA VYAMA VYA USHIRIKA VINAVYOFUTWA KWENYE REJISTA YA VYAMA VYA USHIRIKA TAREHE 26 JULAI, 2022.

Soma Zaidi

MRAJIS WA VYAMA VYA USHIRIKA, DKT. BENSON NDIEGE AELEZEA MAFANIKIO YA SEKTA YA USHIRIKA NA MWELEKEO WA BAJETI YA TCDC KWA MWAKA 2022/2023

Dhamira ya Serikali ni kutumia mfumo wa ushirika katika kuwewezesha wananchi kiuchumi na kuchangia ipasavyo katika ustawi wao na wa Taifa kwa ujumla.  Kazi kubwa ya Serikali ni kuhakikisha Ushirika…

Soma Zaidi