SHINYANGA TUNAUHITAJI MAPEMA MFUMO MPYA WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA - RC MJEMA
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwenda kufundisha Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) katika mkoa wa Shinyanga. Ameyasema hayo…
Soma Zaidi