KILO YA UFUTA YAUZWA SHILINGI 3,963/20 KIBITI, KUPITIA STAKABADHI ZA GHALA
Wakulima wa Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani kwa pamoja wameridhia kuuza Ufuta wao kwa bei ya juu ya Shilingi 3,963/20 kupitia mnada ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika mkoani… Soma Zaidi