Habari na Matangazo

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango akifungua Maonesho ya NanenaneKitaifa 2025, katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma

VIONGOZI SIMAMIENI MAENDELEO YA USHIRIKA - DKT. MPANGO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa Viongozi mbalimbali kuhakikisha wanasimamia vema Maendeleo ya Ushirika hapa nchini na kuongeza ushirikiano baina ya…

Soma Zaidi

NAIBU WAZIRI MKUU AVIPONGEZA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko, amevipongeza Vyama vya Ushirika nchini kutokana na mageuzi makubwa yanayoendelea kufanyika katika sekta hiyo. Ametoa pongezi hizo wakati akiongea katika  Maadhimisho…

Soma Zaidi

CHAMA CHA USHIRIKA UDURU WASHINDA KESI, SHAMBA LARUDISHWA RASMI

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Hassan Bomboko, amesema kuwa, shamba la Chama cha Ushirika Uduru Makoa lenye ukubwa wa ekari 358 limepokelewa rasmi na chama hicho baada ya kushinda kesi dhidi ya mwekezaji, …

Soma Zaidi

TCDC NA AGRI-GRADE WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA UTENDAJI(MOU)

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amesema Tume itaendelea kuimarisha na  kuboresha Sekta ya Ushirika kwa Ushirikiano na Wadau. Mrajis amesema hayo wakati wa…

Soma Zaidi