Habari na Matangazo

TCDC YATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA NA MIFUMO YA KIDIGITALI KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika & Umwagiliaji Dkt.Stephen Nindi ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kuimarisha usimamizi wa Vyama vya Ushirika na Mifumo ya Kidigitali…

Soma Zaidi

DKT. BENSON NDIEGE AZINDUA MALORI YA MIZIGO YA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA RUNALI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, leo tarehe 15 Aprili 2025, amezindua rasmi malori saba ya kubebea mizigo yanayomilikiwa na Chama Kikuu cha Ushirika…

Soma Zaidi

RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA BENKI YA USHIRIKA

 Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan atazindua rasmi Benki ya Ushirika  Aprili 28, 2025 Jijini Dodoma. Waziri Bashe…

Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA YATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Abdulmajid Nsekela ametoa wito kwa Benki ya Ushirika kutumia fursa  za Ushirika kuongeza tija kibiashara kwa Benki hiyo. Amesema hayo…

Soma Zaidi

WANAWAKE WAHIMIZWA KUWANIA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Mrajis - Uhamasishaji, Consolata Kiluma, ametoa wito kwa Wanawake  kujitokeza kuwania Uongozi katika Vyama vya Ushirika ili kuongeza msukumo wa Maendeleo ya Ushirika. Akiongea na Viongozi Wanawake…

Soma Zaidi

WANAUSHIRIKA ZANZIBAR WAFANYA ZIARA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI DODOMA

Watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Ushirika Zanzibar wamefanya ziara ya mafunzo katika Vyama vya Ushirika Mkoani Dodoma kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu Maendeleo ya Ushirika Tanzania…

Soma Zaidi

MATUMIZI SAHIHI MFUMO WA KIDIGITALI KUONGEZA UFANISI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imekutana na Idara  Maendeleo ya Ushirika Zanzibar kuweka mikakati  ya mahusiano na mafunzo kuhusu matumizi sahihi ya mfumo wa kidigitali ili kuongeza…

Soma Zaidi