Habari na Matangazo

TENGENEZENI MIFUMO,TARATIBU NA KANUNI IMARA ILI KUENDELEZA VYAMA - NAIBU KATIBU MKUU KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayesimamia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi amezitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC) na Muungano wa Vyama…

Soma Zaidi

TCDC KUENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amesema Tume itaendelea kuwajengea uwezo Watumishi katika utendaji na utekelezaji wa Majukumu yao ili kuongeza…

Soma Zaidi

IMARISHENI MIFUMO KUZUIA UPOTEVU WA FEDHA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA - NAIBU KATIBU MKUU, KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo – Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi, ameiagiza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuendelea kuimarisha na kuunda mifumo mbalimbali ya Kidigitali…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI VYAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA VIWANDA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe, ametoa rai kwa Vyama vya Ushirika Nchini kuwekeza katika Kuanzisha na kuvimiliki Viwanda ili sehemu kubwa ya Viwanda Nchini   vimilikiwe na…

Soma Zaidi

MRAJIS ATEUA WAJUMBE WA BODI YA MPITO YA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA USHIRIKA TANZANIA (TFC)

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameteua Wajumbe wa Bodi ya Mpito ya Shirikisho la Vyama Vya Ushirika Tanzania Bara (TFC)  kwa mamlaka…

Soma Zaidi

TCDC NA CBE ZADHAMIRIA KUTOA MAFUNZO YA KUENDESHA USHIRIKA KIBIASHARA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amesema Tume imedhamiria kushirikiana na Wadau  kukuza na kuendeleza Ushirika ili  uweze kuendeshwa…

Soma Zaidi