Habari na Matangazo

CHAMA CHA USHIRIKA UDURU WANASHINDA KESI, SHAMBA LARUDISHWA RASMI

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Hassan Bomboko, amesema kuwa, shamba la Chama cha Ushirika Uduru Makoa lenye ukubwa wa ekari 358 limepokelewa rasmi na chama hicho baada ya kushinda kesi dhidi ya mwekezaji, …

Soma Zaidi

TCDC NA AGRI-GRADE WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA UTENDAJI(MOU)

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amesema Tume itaendelea kuimarisha na  kuboresha Sekta ya Ushirika kwa Ushirikiano na Wadau. Mrajis amesema hayo wakati wa…

Soma Zaidi

WAZIRI MAVUNDE AVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUWA NA USHIRIKA UNAOJIBU MAHITAJI YA WANANCHI

Waziri wa Madini, Mhe. Antony Mavunde, amevitaka Vyama vya Ushirika nchini kuwa na Ushirika unaojibu mahitaji ya wananchi kiuchumi na kijamii. Hayo yamebainishwa  wakati wa Kilele cha Jukwaa la Maendeleo…

Soma Zaidi

USHIRIKA SASA UNAKWENDA VIZURI – RAIS DKT. SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa Sekta ya Ushirika inakwenda vizuri kwq kuongeza tija ya Maendeleo katika ustawi wa Wananchi wengi nchini. Rais…

Soma Zaidi

MAGEUZI YA SEKTA YA USHIRIKA KUCHOCHEA UCHUMI - WM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali imeendelea na hatua mbalimbali za mageuzi katika Sekta ya Ushirika ili kuimarisha Uchumi na kuleta Maendeleo kwa Wananchi…

Soma Zaidi

TCDC YATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA NA MIFUMO YA KIDIGITALI KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika & Umwagiliaji Dkt.Stephen Nindi ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kuimarisha usimamizi wa Vyama vya Ushirika na Mifumo ya Kidigitali…

Soma Zaidi