Habari na Matangazo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua vihenge, maghala ya kisasa na msimu wa ununuzi wa nafaka wa mwaka 2024/2025 katika Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai 2024.

UZINDUZI WA VIHENGE, MAGHALA YA KISASA NA MSIMU WA UNUNUZI WA NAFAKA - 2024/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua vihenge, maghala ya kisasa na msimu wa ununuzi wa nafaka wa mwaka 2024/2025 katika Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai 2024. Mhe. Rais…

Soma Zaidi

SERIKALI KUUNGA MKONO MAGEUZI NA MATOKEO CHANYA SEKTA YA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dotto Biteko amesema Serikali itaendelea kuunga mkono mageuzi chanya yanayofanyika kukuza sekta ya Ushirika. Ameyasema hayo wakati wa akifunga Maadhimisho ya…

Soma Zaidi

USHIRIKA UTUMIKE KUWAKOMBOA WANANCHI KIUCHUMI

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde (Mb) ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika pamoja na taasisi nyingine zinazohusika na Ushirika kusimamia vyema uendeshaji wa Vyama vya Ushirika ili viweze kutumika…

Soma Zaidi

WATOROSHAJI WA TUMBAKU WAONYWA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameonya baadhi ya Wanaushirika wasio waadilifu kuacha tabia ya kutorosha zao la Tumbaku na…

Soma Zaidi

MRAJIS AVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka vyama vya Ushirika kuongeza uzalishaji ili kufanya vyama viongeze tija kwa kuongeza wigo wa kibiashara na…

Soma Zaidi

MFUMO WA TEHAMA WA UENDESHAJI NA UTOAJI HUDUMA ZA SACCOS WAZINDULIWA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kutumia mifumo ya Kidijitali katika…

Soma Zaidi
Dkt Emmanuel Lema, (wakatikati),kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Vyama vya Ushirika vya Mbogamboga yaliyofanyika Mkoani Kilimanjaro.

VIONGOZI WA USHIRIKA WATAKIWA KUHAKIKISHA VYAMA VINAKUWA IMARA NA ENDELEVU

Kaimu Katibu Tawala Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Emmanuel Lema, amatoa rai kwa Viongozi wa Vyama vya ushirika kuhakikisha wanachama wao wanamaliza hisa ili kuhakikisha Vyama vinakuwa imara na…

Soma Zaidi