Habari na Matangazo

SACCOS NGUVU YA UCHUMI

Naibu Katibu Mkuu Elijah Mwandumbya amesema Serikali itaendelea kuimarisha na kusimamia Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) ili viweze kuchochea kasi katika shughuli za kiuchumi za…

Soma Zaidi

TAASISI ZA USHIRIKA, BIMA NA FEDHA KWA PAMOJA KUANZA USAJILI WA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC), Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Konsotia ya Bima za Kilimo (TAIC), taasisi za kifedha pamoja na wadau wa…

Soma Zaidi

HAKIKISHENI WANAUSHIRIKA WANAPATA MIKOPO YA RIBA NAFUU KUPITIA BENKI YA USHIRIKA - RAIS SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) kuhakikisha  inatoa mikopo yenye riba nafuu kwa Wanaushirika ili kuendeleza…

Soma Zaidi

SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA USHIRIKA - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema kuwa Serikali itaendelea kusimamia Ushirika hapa nchini na kuhakikisha Ushirika unamwinua Mkulima na mwanaushirika kujikwamua…

Soma Zaidi
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango akifungua Maonesho ya Nanenane Kitaifa 2025, katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma

VIONGOZI SIMAMIENI MAENDELEO YA USHIRIKA - DKT. MPANGO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa Viongozi mbalimbali kuhakikisha wanasimamia vema Maendeleo ya Ushirika hapa nchini na kuongeza ushirikiano baina ya…

Soma Zaidi

NAIBU WAZIRI MKUU AVIPONGEZA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko, amevipongeza Vyama vya Ushirika nchini kutokana na mageuzi makubwa yanayoendelea kufanyika katika sekta hiyo. Ametoa pongezi hizo wakati akiongea katika  Maadhimisho…

Soma Zaidi