Habari na Matangazo

USHIRIKA SASA UNAKWENDA VIZURI – RAIS DKT. SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa Sekta ya Ushirika inakwenda vizuri kwq kuongeza tija ya Maendeleo katika ustawi wa Wananchi wengi nchini. Rais…

Soma Zaidi

MAGEUZI YA SEKTA YA USHIRIKA KUCHOCHEA UCHUMI - WM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali imeendelea na hatua mbalimbali za mageuzi katika Sekta ya Ushirika ili kuimarisha Uchumi na kuleta Maendeleo kwa Wananchi…

Soma Zaidi

TCDC YATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA NA MIFUMO YA KIDIGITALI KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika & Umwagiliaji Dkt.Stephen Nindi ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kuimarisha usimamizi wa Vyama vya Ushirika na Mifumo ya Kidigitali…

Soma Zaidi

DKT. BENSON NDIEGE AZINDUA MALORI YA MIZIGO YA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA RUNALI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, leo tarehe 15 Aprili 2025, amezindua rasmi malori saba ya kubebea mizigo yanayomilikiwa na Chama Kikuu cha Ushirika…

Soma Zaidi

RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA BENKI YA USHIRIKA

 Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan atazindua rasmi Benki ya Ushirika  Aprili 28, 2025 Jijini Dodoma. Waziri Bashe…

Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA YATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Abdulmajid Nsekela ametoa wito kwa Benki ya Ushirika kutumia fursa  za Ushirika kuongeza tija kibiashara kwa Benki hiyo. Amesema hayo…

Soma Zaidi

WANAWAKE WAHIMIZWA KUWANIA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Mrajis - Uhamasishaji, Consolata Kiluma, ametoa wito kwa Wanawake  kujitokeza kuwania Uongozi katika Vyama vya Ushirika ili kuongeza msukumo wa Maendeleo ya Ushirika. Akiongea na Viongozi Wanawake…

Soma Zaidi