Habari na Matukio

SERIKALI KUUNGA MKONO MAGEUZI NA MATOKEO CHANYA SEKTA YA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dotto Biteko amesema Serikali itaendelea kuunga mkono mageuzi chanya yanayofanyika kukuza sekta ya Ushirika. Ameyasema hayo wakati wa akifunga Maadhimisho ya…

Soma Zaidi

USHIRIKA UTUMIKE KUWAKOMBOA WANANCHI KIUCHUMI

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde (Mb) ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika pamoja na taasisi nyingine zinazohusika na Ushirika kusimamia vyema uendeshaji wa Vyama vya Ushirika ili viweze kutumika…

Soma Zaidi

WATOROSHAJI WA TUMBAKU WAONYWA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameonya baadhi ya Wanaushirika wasio waadilifu kuacha tabia ya kutorosha zao la Tumbaku na…

Soma Zaidi

MRAJIS AVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka vyama vya Ushirika kuongeza uzalishaji ili kufanya vyama viongeze tija kwa kuongeza wigo wa kibiashara na…

Soma Zaidi

MFUMO WA TEHAMA WA UENDESHAJI NA UTOAJI HUDUMA ZA SACCOS WAZINDULIWA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kutumia mifumo ya Kidijitali katika…

Soma Zaidi

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) 2024 KUFANYIKA TABORA JUNI 29 - JULAI 06, 2024

Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) kwa mwaka 2024 yatafanyika kuanzia tarehe 29/06/2024 hadi tarehe 06/07/2024 kwenye viwanja vya Nanenane (Ipuli) Mkoani Tabora ambapo wananchi wote vikiwemo Vyama…

Soma Zaidi

USHIRIKA WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA KUONDOA UMASIKINI- DC, MBOZI

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mhe. Ester Mahawe amevitaka vyama vya wa Ushirika wa Mazao ya Mbogamboga na matunda kuongeza uzalishaji wa mazao hayo ili kuondokana na umasikini. Ametoa kauli hiyo leo Juni 5, 2024…

Soma Zaidi

VIONGOZI USHIRIKA WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA SONGWE WANOLEWA

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Songwe, Benjamin Mangwala, amewataka viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao ya Mbogamboga na Matunda kuwa chachu ya kuvutia Wananchi wengi zaidi kujiunga na Vyama…

Soma Zaidi