Habari na Matukio

TCDC YATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA NA MIFUMO YA KIDIGITALI KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika & Umwagiliaji Dkt.Stephen Nindi ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kuimarisha usimamizi wa Vyama vya Ushirika na Mifumo ya Kidigitali…

Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA YATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Abdulmajid Nsekela ametoa wito kwa Benki ya Ushirika kutumia fursa  za Ushirika kuongeza tija kibiashara kwa Benki hiyo. Amesema hayo…

Soma Zaidi

WANAWAKE WAHIMIZWA KUWANIA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Mrajis - Uhamasishaji, Consolata Kiluma, ametoa wito kwa Wanawake  kujitokeza kuwania Uongozi katika Vyama vya Ushirika ili kuongeza msukumo wa Maendeleo ya Ushirika. Akiongea na Viongozi Wanawake…

Soma Zaidi

WANAUSHIRIKA ZANZIBAR WAFANYA ZIARA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI DODOMA

Watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Ushirika Zanzibar wamefanya ziara ya mafunzo katika Vyama vya Ushirika Mkoani Dodoma kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu Maendeleo ya Ushirika Tanzania…

Soma Zaidi

MATUMIZI SAHIHI MFUMO WA KIDIGITALI KUONGEZA UFANISI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imekutana na Idara  Maendeleo ya Ushirika Zanzibar kuweka mikakati  ya mahusiano na mafunzo kuhusu matumizi sahihi ya mfumo wa kidigitali ili kuongeza…

Soma Zaidi

MALI ZA USHIRIKA ZIWEKEZWE KWA TIJA- DKT. NINDI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ushirika& Umwagiliaji- Dkt.Stephen Nindi amevitaka vyama vya Ushirika kuwekeza Mali za Ushirika kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Ushirika ili kuleta tija na…

Soma Zaidi

DKT. NINDI ATAKA UBUNIFU KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo - Ushirika & Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi amevitaka Vyama vya Ushirika kuongeza ubunifu wa uendeshaji wa shughuli za Ushirika ili kuinua tija na uzalishaji mali wenye…

Soma Zaidi