Habari na Matukio

NAIBU WAZIRI MKUU AVIPONGEZA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko, amevipongeza Vyama vya Ushirika nchini kutokana na mageuzi makubwa yanayoendelea kufanyika katika sekta hiyo. Ametoa pongezi hizo wakati akiongea katika  Maadhimisho…

Soma Zaidi

USHIRIKA SASA UNAKWENDA VIZURI – RAIS DKT. SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa Sekta ya Ushirika inakwenda vizuri kwq kuongeza tija ya Maendeleo katika ustawi wa Wananchi wengi nchini. Rais…

Soma Zaidi

MAGEUZI YA SEKTA YA USHIRIKA KUCHOCHEA UCHUMI - WM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali imeendelea na hatua mbalimbali za mageuzi katika Sekta ya Ushirika ili kuimarisha Uchumi na kuleta Maendeleo kwa Wananchi…

Soma Zaidi