HAKIKISHENI WANAUSHIRIKA WANAPATA MIKOPO YA RIBA NAFUU KUPITIA BENKI YA USHIRIKA - RAIS SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) kuhakikisha inatoa mikopo yenye riba nafuu kwa Wanaushirika ili kuendeleza…
Soma Zaidi