Habari na Matukio

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI KUFANYIKA JULAI 5, 2025 JIJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania, Tito Haule, amesema Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Ushirika yatafanyika Julai 5, 2025 Jijini Dodoma. Akiongea katika Mkutano wa Waandishi wa…

Soma Zaidi

USHIRIKA SASA UNAKWENDA VIZURI – RAIS DKT. SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa Sekta ya Ushirika inakwenda vizuri kwq kuongeza tija ya Maendeleo katika ustawi wa Wananchi wengi nchini. Rais…

Soma Zaidi

MAGEUZI YA SEKTA YA USHIRIKA KUCHOCHEA UCHUMI - WM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali imeendelea na hatua mbalimbali za mageuzi katika Sekta ya Ushirika ili kuimarisha Uchumi na kuleta Maendeleo kwa Wananchi…

Soma Zaidi

TCDC YATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA NA MIFUMO YA KIDIGITALI KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika & Umwagiliaji Dkt.Stephen Nindi ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kuimarisha usimamizi wa Vyama vya Ushirika na Mifumo ya Kidigitali…

Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA YATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Abdulmajid Nsekela ametoa wito kwa Benki ya Ushirika kutumia fursa  za Ushirika kuongeza tija kibiashara kwa Benki hiyo. Amesema hayo…

Soma Zaidi