WASIMAMIZI WA MAGHALA WATAKIWA KUFUATA SHERIA NA TARATIBU ZA UENDESHAJI WAKE
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Usamamizi wa Stakabadhi za Ghala, Asangye Bangu amewataka wasimamizi wa maghala kuhakikisha wanafuata sheria na utaratibu wa uendeshaji wa maghala hayo. Ametoa Kauli…
Soma Zaidi