Habari na Matangazo

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee akizungumza katika Kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa saba inayolima zao la Pamba hapa nchini

WAKUU WA MIKOA SABA WAJADILI MAENDELEO YA ZAO LA PAMBA

Kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa saba inayolima zao la Pamba hapa nchini pamoja na Wakuu wa Wilaya, Wabunge, viongozi wa vyama vikuu vya ushirika na Wadau wa Pamba nchini kimefanyika tarehe 13 Desemba, 2022 …

Soma Zaidi
Viongozi walioshiriki katika   Makabidhiano ya mali za uliokuwa ushirika wa Mara Cooperative Union (1984) Ltd kwa Vyama Vikuu vya Ushirika vya PAMBA MARA na  WAKULIMA WA MARA

MALI ZA ILIYOKUWA “MARA COOPERATIVE UNION (1994)  LTD” ZAKABIDHIWA KWA VYAMA VYA USHIRIKA WA WAMACU LTD NA PMCU LTD

Makabidhiano ya mali za uliokuwa ushirika wa Mara Cooperative Union (1984) Ltd kwa Vyama Vikuu vya Ushirika vya PAMBA MARA na  WAKULIMA WA MARA  yamefanyika tarehe 12 Desemba, 2022 katika Kiwanda cha…

Soma Zaidi
Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Mussa Ali Mussa akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya MUVU mjini Morogoro

VYAMA VYA USHIRIKA VISAIDIE KUINUA UCHUMI WA WANACHAMA WAKE - RAS MOROGORO

Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, ametoa wito kwa viongozi wa Vyama vya Ushirika kufanya shughuli zao kwa lengo la kuwainua kiuchumi wanachama na kuacha kujinufaisha wenyewe. Dkt. Mussa…

Soma Zaidi
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Laurean Ndumbaru akizindua Baraza la Watumishi wa Tume

DKT NDUMBARO AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Laurean Ndumbaro amepongeza Menejimenti ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania kwa ufanyaji kazi wao wa kufuata kanuni na…

Soma Zaidi
Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango Akizungumza na watumishi wa TCDC  katika Maonyesho ya Wiki ya Huduma za Fedha Mkoani Mwanza

MAKAMU WA RAIS AWATAKA WASIMAMIZI WA HUDUMA ZA FEDHA KUTAZAMA UPYA MASHARTI YAO

Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, amezitaka Taasisi za Sekta za Huduma za Fedha kulegeza masharti ya mikopo ili kuweza kuwasaidia Wananchi kwa kupunguza riba za mikopo na hata wao  kupunguza gharama za…

Soma Zaidi

TABORA, KIGOMA, KATAVI NA SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Serikali kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika imetoa mafunzo kwa Maafisa Ushirika, Maafisa  TEHAMA, Mameneja na Warajis Wasaidizi wa Vyama vya Ushirika wa mikoa ya Tabora, Kigoma, Katavi na…

Soma Zaidi

SHINYANGA YATOA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA WA PAMBA

Ofisi ya Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga imeanza utekelezaji wa Program ya mafunzo kwa vitendo yanatolewa kwa watendaji wa Vyama vya Ushirika vinavyojishughulisha na kilimo cha…

Soma Zaidi