SACCOS WEKEZENI KWENYE KILIMO - NAIBU WAZIRI MAVUNDE
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde, amevitaka Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) nchini kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali yenye fursa katika kilimo ili kuongeza mapato yao. Mhe. Mavunde…
Soma Zaidi