Habari na Matangazo

MCHAKATO WA UANZISHWAJI BENKI YA USHIRIKA  UFANYIKE MAPEMA - DKT. ISHENGOMA

MCHAKATO WA UANZISHWAJI BENKI YA USHIRIKA  UFANYIKE MAPEMA - DKT. ISHENGOMA Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo, Ufugaji na Maji,  Mhe. Dkt. Christine Ishengoma amesema; ili kuongeza tija…

Soma Zaidi

KONGAMANO LA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA LAFANYIKA KWA MAFANIKIO

KONGAMANO LA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA LAFANYIKA KWA MAFANIKIO Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe leo tarehe 30 Juni, 2022 amefungua Kongamano la Mfumo wa Stakabadhi za…

Soma Zaidi

NAIBU WAZIRI WA KILIMO AWATAKA WASIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA KUIMARISHA MIFUMO YA USIMAMIZI

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde, amewataka Wasimamizi wa Vyama vya Ushirika nchini kuimarisha Mifumo ya Usimamizi wa Vyama ili kusimamia mali na fedha za Wanaushirika kwa lengo la kuwawezesha…

Soma Zaidi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian amewataka Wanawake nchini kujiunga katika Vyama vya Ushirika ili kuwawezesha kupata Mitaji na kuanzisha biashara mbalimbali ikiwemo Viwanda…

Soma Zaidi

TCDC NA NMB ZAINGIA MAKUBALIANO UJENZI WA MAGHALA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA

TUME YA USHIRIKA NA BENKI YA NMB ZAINGIA MAKUBALIANO UJENZI WA MAGHALA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeingia Randama ya Makubaliano na Benki ya NMB kushirikiana…

Soma Zaidi

TANGAZO LA NAFASI ZA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) inawatangazia Watumishi wa Umma kuwepo kwa nafasi wazi 19 za kuhamia katika kada mbalimbali. Nafasi hizi zinategemewa kujazwa katika Ofisi za Tume Makao Makuu -…

Soma Zaidi

TUNAENDA KUWA NA USHIRIKA WA KUZALISHA UTAJIRI -  NAIBU WAZIRI WA KILIMO

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Antony Mavunde, amesema kutokana na Tafiti zinazofanyika kwenye Sekta ya Ushirika, sasa Ushirika unaenda kuwa wa kuzalisha utajiri na sio migogoro na matatizo. Naibu Waziri Mavunde…

Soma Zaidi