Habari na Matangazo

ZOEZI LA UGAWAJI MALI NA MADENI KWA AMCOS ZA MIWA BONDE LA KILOMBERO LAKAMILIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Bodi ya Sukari Tanzania (TSB) zimesimamia zoezi la Ugawaji wa Mali na Madeni na usainishwaji Hati za makubaliano  kwa AMCOS za Miwa bonde la Kilombero…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa SIMIYU, Mhe.Dkt.Yahya Nawanda akikabidhi cheti kwa Kiongozi wa Chama cha Ushirika kilichofanya vizuri kwa Mwaka 2023.

MKOA WA SIMIYU WADHAMIRIA KUANZISHA VIWANDA NA KUIMARISHA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Dkt. Yahya Nawanda, amesema Mkoa wa Simiyu umedhamiria kuanzisha viwanda kwa ajili ya kuongeza ajira na kukuza uchumi wa  mkoa na nchi kwa ujumla.Dkt. ameyasema hayo alipokuwa…

Soma Zaidi

WATUMISHI WA TCDC WAPIGWA MSASA MAAMBUKIZI YA VVU/UKIMWI NA MAGONJWA SUGU YASIYOAMBUKIZA

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Collins Nyakunga, ametoa wito kwa Watumishi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuzingatia Kanuni za Afya kwa lengo la kujikinga na maambukizi ya VVU/UKIMWI…

Soma Zaidi
Kaimu Mwenyekiti Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Gabriel Mwita, akizungumza katika kikao cha  kupitia na kujadili Mpango wa Bajeti ya Tume kww Mwaka 2023/2024.

BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCDC LIMEPITIA NA KUJADILI MPANGO WA BAJETI YA TUME KWA MWAKA 2023/2024

Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) limepitia na kujadili Mpango wa Bajeti ya Tume kww Mwaka 2023/2024. Bajeti hiyo inategemea kutumika katika ya Matumizi ya kawaida ya…

Soma Zaidi
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt Benson Ndiege akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Taasisi za Kiserikali na Sekta Binafsi kwenye Mkutano wa  Fursa za Kibiashara na Masoko Nchini Sudani Kusini

TANZANIA YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA SUDANI YA KUSINI UPATIKANAJI WA MAZAO YA KILIMO KUPITIA VYAMA VYA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, leo tarehe 22 Machi, 2023 ameshiriki Mkutano wa Fursa za Kibiashara na Masoko nchini Sudani ya Kusini ambapo…

Soma Zaidi

SIMCU FUFUENI VIWANDA VYENU - RC SIMIYU

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mheshimiwa Dkt Yahaya Nawanda , ametoa Rai kwa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Simiyu (SIMCU - 2018) Ltd kufufua Viwanda vyao na kuanza kufanya kazi ili kuimarisha Mnyororo wa thamani…

Soma Zaidi
Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika - Usimamizi na Udhibiti, Collins Nyakunga, akiwa katika picha ya pamoja na Mameneja wa SACCOS mbalimbali Nchini

VYAMA VYA USHIRIKA VYA AKIBA NA MIKOPO VYATAKIWA KUJITANGAZA

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika - Usimamizi na Udhibiti, Collins Nyakunga, amevitaka Vyama vya Ushirika vya Akiba na Mikopo  (SACCOS) kutumia Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii…

Soma Zaidi