Habari na Matangazo

SIMCU FUFUENI VIWANDA VYENU - RC SIMIYU

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mheshimiwa Dkt Yahaya Nawanda , ametoa Rai kwa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Simiyu (SIMCU - 2018) Ltd kufufua Viwanda vyao na kuanza kufanya kazi ili kuimarisha Mnyororo wa thamani…

Soma Zaidi
Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika - Usimamizi na Udhibiti, Collins Nyakunga, akiwa katika picha ya pamoja na Mameneja wa SACCOS mbalimbali Nchini

VYAMA VYA USHIRIKA VYA AKIBA NA MIKOPO VYATAKIWA KUJITANGAZA

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika - Usimamizi na Udhibiti, Collins Nyakunga, amevitaka Vyama vya Ushirika vya Akiba na Mikopo  (SACCOS) kutumia Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii…

Soma Zaidi
Kaimu Naibu Mrajis (Uratibu na Uhamasishaji) Consolata Kiluma akimkabidhi tuzo ya Utendaji bora Mwenyekiti wa UDIDA SACCOS Jasson Rutatinisibwa katika Jukuwaa la Ushirika Mkoani Shinyanga

VIONGOZI WA VVAMA VYA USHIRIKA WATAKIWA  KUONDOKANA NA HATI CHAFU

Kaimu Naibu Mrajis (Uratibu  na Uhamasishaji) wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania(TCDC), Consolata  Kiluma, amewataka Viongozi na Watendaji wa Vyama vya Ushirika mkoani Shinyanga kuondokana na…

Soma Zaidi
Mwenyekiti wa (TCDC), Abdulmajid Nsekela akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa Ushirika uliolenga kujadili maendeleo ya ushirika na kuweka mkakati wa kuimarisha sekta hiyo nchini

MPANGO WA KUBORESHA VYAMA VYA USHIRIKA WAJADILIWA

Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeanza kutekeleza mpango wa kubadili namna ya kuendesha Vyama vya Ushirika na kuviwezesha kutumia Teknolojia za kisasa katika kufanya shughuli…

Soma Zaidi
Kaimu Naibu Mrajis (Uratibu na Uhamasishaji) wa Vyama vya Ushirika, Consolata Kiluma akizungumza na Watendaji wa Ushirika katika jukwaa la Ushirika Mkoani Pwani

WATENDAJI WA USHIRIKA WATAKIWA KUFUATA TARATIBU NA SHERIA ZA USHIRIKA

Kaimu Naibu Mrajis (Uratibu na Uhamasishaji) wa Vyama vya Ushirika, Consolata Kiluma amevitaka Vyama vya Ushirika vya mkoa wa Pwani kufuata taratibu na sheria za Ushirika ili kuufanya Ushirika kuwa wenye nguvu…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA VYA AKIBA NA MIKOPO VYATAKIWA KUFANYA UWEKEZAJI NA KUTUMIA TEHAMA

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika - Udhibiti, Collins Nyakunga, amewataka Viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kufanya Uwekezaji na matumizi bora ya TEHAMA, na kuzingatia matakwa ya…

Soma Zaidi

TCDC IMEDHAMIRIA KUBORESHA MFUMO WA USHIRIKA - NSEKELA

Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania( TCDC), Abdumajid Nsekela, amesema TCDC imedhamiria kuboresha mfumo wa Ushirika na kuwa wa kibiashara na kisasa zaidi.Amesema lengo ni kuongeza ushiriki wa…

Soma Zaidi