Habari na Matangazo

RAIS SAMIA AKABIDHI TREKTA KWA ISOWELU AMCOS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi zawadi ya Trekta kwa Chama cha Msingi cha Ushirika cha ISOWELU AMCOS kilichopo mkoani Njombe ikiwa ni kutambua juhudi za…

Soma Zaidi

MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA ‘KIJIJI CHA USHIRIKA’ NDANI YA NANENANE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 08 Agosti, 2023 ametembelea Kijiji cha Ushirika na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Tume ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi

WAKULIMA JIUNGENI KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA - MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa Wakulima kujiunga na Vyama vya Ushirika ili kupata nguvu ya pamoja ya soko la mazao yao na kuwa na chanzo cha Mikopo na…

Soma Zaidi

TAMCU  LIMITED WAUZA TANI 4,789 ZA UFUTA WENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 17.6

Chama Kikuu cha Ushirika Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma (TAMCU LTD) Leo Julai 27 kimefanya mnada wake wa Saba katika ofisi za chama hicho ambao  pia  ni mnada wake wa mwisho kwa msimu wa kilimo wa…

Soma Zaidi
Mrajis wa Vyama vya Ushirikana Mtendaji Mkuu (TCDC), Dkt. Benson Ndiege akipokea maelezo katika banda WETCU 2018 LTD katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara(kushoto)

VYAMA VYA  USHIRIKA VYATAKIWA KUNUSA FURSA ZA KIBIASHARA

Mrajis wa Vyama vya Ushirikana Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara, makongamano na ziara…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2023

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika (Masoko na Uwekezaji), Revocatus Nyagilo ametembelea Mabanda ya Vyama vya Ushirika yaliyopo katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara maarufu SABASABA leo Julai 07,…

Soma Zaidi

SERIKALI KUONGEZA NGUVU YA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amesema Serikali itaendelea kuimarisha Ushirika kwa kuongeza tija katika Kilimo kitakachochangia katika kuinua uzalishaji wa mazao na kuongeza nguvu ya Ushirika …

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO VYAASWA KUTOA ELIMU

Mkurugenzi wa Sekta ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Saadat Musa ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika kutoa elimu ya Fedha kwa Wanachama na Umma kwa ujumla kwa lengo la kuimarisha na kuendeleza Sekta ya…

Soma Zaidi