Habari na Matangazo

Mrajis wa Vyama vya Ushirikana Mtendaji Mkuu (TCDC), Dkt. Benson Ndiege akipokea maelezo katika banda WETCU 2018 LTD katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara(kushoto)

VYAMA VYA  USHIRIKA VYATAKIWA KUNUSA FURSA ZA KIBIASHARA

Mrajis wa Vyama vya Ushirikana Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara, makongamano na ziara…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2023

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika (Masoko na Uwekezaji), Revocatus Nyagilo ametembelea Mabanda ya Vyama vya Ushirika yaliyopo katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara maarufu SABASABA leo Julai 07,…

Soma Zaidi

SERIKALI KUONGEZA NGUVU YA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amesema Serikali itaendelea kuimarisha Ushirika kwa kuongeza tija katika Kilimo kitakachochangia katika kuinua uzalishaji wa mazao na kuongeza nguvu ya Ushirika …

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO VYAASWA KUTOA ELIMU

Mkurugenzi wa Sekta ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Saadat Musa ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika kutoa elimu ya Fedha kwa Wanachama na Umma kwa ujumla kwa lengo la kuimarisha na kuendeleza Sekta ya…

Soma Zaidi

STAKABADHI ZA GHALA KUPAISHA USHINDANI WA SOKO KWA MAZAO YA WAKULIMA

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe, ametoa wito kwa kila Mdau anayehusika katika matumizi na usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kutimiza wajibu wake katika nafasi yake ili…

Soma Zaidi

SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA USHIRIKA

Serikali imesema imedhamiria kuimarisha na kuendeleza azma yake ya kuimarisha, kusimamia na kuendeleza Sekta ya Ushirika nchini kwa lengo la kuondoa umaskini na kujenga uchumi imara wa Wananchi. Naibu Waziri…

Soma Zaidi

WAZIRI SIMBACHAWENE AZINDUA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA YA TAASISI ZA UMMA, UKIWEMO WA TCDC

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene,  leo Juni 23, 2023 amezindua Mikataba ya Huduma kwa Mteja ya Taasisi za Umma, ukiwemo wa Tume ya…

Soma Zaidi
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Mussa Misaile akikabidhi cheti cha Usajili cha Chama kipya cha Ushirika wa Mbogamboga, matunda na mazao mchanganyiko Mang’ola Amcos kwa Mwenyekiti wa Chama Athuman Salum baada ya mafunzo ya Ushirika, Jijini Arusha

CHAMA CHA USHIRIKA NI CHA WANAUSHIRIKA

Wanachama wa Chama cha Ushirika wametajwa kuwa ndio wamiliki wa kwanza wa Chama cha Ushirika. Hivyo, wana wajibu wa kulinda na kusimamia Chama cha Ushirika kuendeshwa kwa tija kwa maslahi ya Wanachama wote wa…

Soma Zaidi