Habari na Matangazo

SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA USHIRIKA

Serikali imesema imedhamiria kuimarisha na kuendeleza azma yake ya kuimarisha, kusimamia na kuendeleza Sekta ya Ushirika nchini kwa lengo la kuondoa umaskini na kujenga uchumi imara wa Wananchi. Naibu Waziri…

Soma Zaidi

WAZIRI SIMBACHAWENE AZINDUA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA YA TAASISI ZA UMMA, UKIWEMO WA TCDC

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene,  leo Juni 23, 2023 amezindua Mikataba ya Huduma kwa Mteja ya Taasisi za Umma, ukiwemo wa Tume ya…

Soma Zaidi
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Mussa Misaile akikabidhi cheti cha Usajili cha Chama kipya cha Ushirika wa Mbogamboga, matunda na mazao mchanganyiko Mang’ola Amcos kwa Mwenyekiti wa Chama Athuman Salum baada ya mafunzo ya Ushirika, Jijini Arusha

CHAMA CHA USHIRIKA NI CHA WANAUSHIRIKA

Wanachama wa Chama cha Ushirika wametajwa kuwa ndio wamiliki wa kwanza wa Chama cha Ushirika. Hivyo, wana wajibu wa kulinda na kusimamia Chama cha Ushirika kuendeshwa kwa tija kwa maslahi ya Wanachama wote wa…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Lindi  Mhe Zainab Telack akizungumza wa uzinduzi wa Mizani 85 za Kidigitali uliofanyika katika Chama cha Msingi cha Ushirika Tapwa kilichopo Wilaya ya Kilwa katika Chama Kikuu cha Lindi Mwambao.

MIZANI ZA KIDIGITALI KUSAIDIA WAKULIMA KUPIMA UFUTA NA KUONDOA UDANGANYIFU

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainab Telack amesema, Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imemkomboa Mkulima wa Kilwa kwa kusimamia upatikanaji wa Mizani za Kidigitali  zinazowasaidia kupima…

Soma Zaidi

KILO YA UFUTA YAUZWA  SHILINGI 3,963/20 KIBITI, KUPITIA STAKABADHI ZA GHALA 

Wakulima wa Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani kwa pamoja wameridhia kuuza Ufuta wao kwa bei ya juu ya Shilingi 3,963/20 kupitia mnada ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika mkoani humo CORECU . Mnada huo…

Soma Zaidi
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt Benson Ndiege akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Watoa Huduma wa Vyama vya Ushirika Mkoani Dodoma

WATOA HUDUMA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA WASIO WAAMINIFU  KUFUTIWA LESENI

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Dkt Benson Ndiege, ameagiza kufutiwa leseni Watoa Huduma ambao si waaminifu wanaofanya kazi na Vyama vya Ushirika. Dkt. Ndiege amesema Watoa Huduma ambao…

Soma Zaidi

MAAFISA USHIRIKA KANDA YA MASHARIKI WAPEWA MAFUNZO KUIMARISHA USHIRIKA

Maafisa Ushirika wametakiwa kutumia maarifa waliyopata kutokana na programu maalum ya mafunzo ya Usimamizi na Ukaguzi wa Vyama vya Ushirika iliyoendeshwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa Maafisa Ushirika…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Kamishina wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Mhe.Zainab Telack (Kushoto) akikabidhi gari kwa Mrajis Msaidizi wa Mkoa wa Lindi Cecilia Philimini.

MRAJIS MSAIDIZI MKOA WA LINDI AKABIDHIWA GARI KATIKA JUKWAA LA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Kamishina wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Mhe. Zainab Telack amekabidhi gari kwa Mrajis Msaidizi wa Mkoa wa Lindi. Gari Hilo limetolewa na  Tume ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi