Habari na Matangazo

Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Kamishina wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Mhe.Zainab Telack (Kushoto) akikabidhi gari kwa Mrajis Msaidizi wa Mkoa wa Lindi Cecilia Philimini.

MRAJIS MSAIDIZI MKOA WA LINDI AKABIDHIWA GARI KATIKA JUKWAA LA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Lindi na Kamishina wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Mhe. Zainab Telack amekabidhi gari kwa Mrajis Msaidizi wa Mkoa wa Lindi. Gari Hilo limetolewa na  Tume ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi

WAKULIMA  681 WA MAZAO YA BUSTANI WAHAMASISHWA KUANZISHA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI KILIMANJARO

Timu ya uhamasishaji kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) imekamilisha uhamasishaji wa uanzishaji wa Vyama vya Ushirika wa mazao ya bustani (horticulture) ambapo zoezi hilo lilifanyika kuanzia tarehe 24…

Soma Zaidi
Afisa Ushirika Ndimolo Laizer akiwahamasisha wakulima kujiunga na Vyama vya Ushirika

WAKULIMA 287 WILAYANI HAI WAHAMASISHWA KUANZISHA VYAMA VYA USHIRIKA

Timu ya wataalam kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na wataalam wa halmashauri ya wilaya ya Hai imeendelea kufanya uhamasishaji wa uanzishwaji wa AMCOS za Mazao ya Bustani…

Soma Zaidi

WATUMISHI WA TCDC WANG’ARA KWENYE TUZO ZA WAFANYAKAZI BORA MEI MOSI

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini ametoa tuzo kwa wafanyakazi Bora wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) katika Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani ambayo kwa Mkoa wa…

Soma Zaidi

ZOEZI LA UGAWAJI MALI NA MADENI KWA AMCOS ZA MIWA BONDE LA KILOMBERO LAKAMILIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Bodi ya Sukari Tanzania (TSB) zimesimamia zoezi la Ugawaji wa Mali na Madeni na usainishwaji Hati za makubaliano  kwa AMCOS za Miwa bonde la Kilombero…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa SIMIYU, Mhe.Dkt.Yahya Nawanda akikabidhi cheti kwa Kiongozi wa Chama cha Ushirika kilichofanya vizuri kwa Mwaka 2023.

MKOA WA SIMIYU WADHAMIRIA KUANZISHA VIWANDA NA KUIMARISHA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Dkt. Yahya Nawanda, amesema Mkoa wa Simiyu umedhamiria kuanzisha viwanda kwa ajili ya kuongeza ajira na kukuza uchumi wa  mkoa na nchi kwa ujumla.Dkt. ameyasema hayo alipokuwa…

Soma Zaidi

WATUMISHI WA TCDC WAPIGWA MSASA MAAMBUKIZI YA VVU/UKIMWI NA MAGONJWA SUGU YASIYOAMBUKIZA

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Collins Nyakunga, ametoa wito kwa Watumishi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuzingatia Kanuni za Afya kwa lengo la kujikinga na maambukizi ya VVU/UKIMWI…

Soma Zaidi
Kaimu Mwenyekiti Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Gabriel Mwita, akizungumza katika kikao cha  kupitia na kujadili Mpango wa Bajeti ya Tume kww Mwaka 2023/2024.

BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCDC LIMEPITIA NA KUJADILI MPANGO WA BAJETI YA TUME KWA MWAKA 2023/2024

Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) limepitia na kujadili Mpango wa Bajeti ya Tume kww Mwaka 2023/2024. Bajeti hiyo inategemea kutumika katika ya Matumizi ya kawaida ya…

Soma Zaidi