Habari na Matangazo

AMCOS ZA PAMBA ZATAKIWA KUSAJILI NA MAZAO MENGINE

Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe, amewataka Viongozi wa AMCOS kusajili mazao mengine yanayolimwa na wakulima katika Mikoa inayolima zao la Pamba. Mheshimiwa Bashe amesema wanaosajili wakulima wa…

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Husein Bashe akizungumza na Wanachama wa ISOWELO AMCOS katika Kijiji cha Mtwango Njombe.

SERIKALI YAAHIDI KUJENGA GHALA “ISOWELU AMCOS”

Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeahidi kujenga Ghala la kuhifadhia Viazi kwa  Chama cha Msingi cha Ushirika ISOWELU AMCOS kilichopo mkoani Njombe.Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe ametoa…

Soma Zaidi

BODI ZA VYAMA VYA USHIRIKA ZATAKIWA KUSIMAMIA IPASAVYO VYAMA VYAO

Wajumbe wa Bodi za Vyama vya Ushirika wametakiwa kusimamia ipasavyo Vyama Vyao ili mali na Wanaushirika ziweze kutumika kuwaletea maendeleo na kuvifanya VYama hivyo kuwa endelevu na kuaminika kwa wadau…

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mwenye Kofia Kati) akizungumza na Meneja wa Kampuni ya ETG Mkoa wa Ruvuma. Vishnu Vardhan (Kushoto) alipotembelea Ghala lililohifadhiwa Mbolea za Kampuni hiyo akiwa kwenye ziara ya kukagua shughuli za Kilimo Mkoani Ruvuma.

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUSHIRIKI KUSAMBAZA MBOLEA KWA WAKULIMA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Husein Bashe ameagiza Vyama Vikuu vya Ushirika Mkoani Ruvuma kuanza kusimamia na kuratibu upatikanaji na usambazaji wa mbolea kwa wanachama na wakulima kwa ujumla. Waziri Bashe ametoa…

Soma Zaidi
Mwanasheria Sekretarieti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara Frank Kanyusi ambaye alimuwakilisha Katibu Tawala wa Mkoa akimkabidhi Kompyuta Mpakato Afisa Ushirika wa Mkoa wa Ruvuma Christer Mkinga

MFUMO WA MUVU  UTARAHISISHA UTOAJI HUDUMA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA

Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw.Frank Kanyusi, amesema kuwa mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa kielekroniki wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) utarahisisha utoaji huduma katika Vyama vya…

Soma Zaidi

KUWENI WAADILIFU KATIKA UTENDAJI WA KAZI - DKT. NDIEGE

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt.Benson Ndiege, amewataka watumishi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika kufanya kazi kwa weledi na kwa kuzingatia…

Soma Zaidi

MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA UTASAIDIA KUIMARISHA USHIRIKA – DC MBEYA

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dkt. Rashidi Chuwachuwa, amewataka Warajis Wasaidizi wa Mikoa, Maafisa Ushirika, Wenyeviti na Mameneja wa Vyama vya Upili kutumia vizuri mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee akizungumza katika Kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa saba inayolima zao la Pamba hapa nchini

WAKUU WA MIKOA SABA WAJADILI MAENDELEO YA ZAO LA PAMBA

Kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa saba inayolima zao la Pamba hapa nchini pamoja na Wakuu wa Wilaya, Wabunge, viongozi wa vyama vikuu vya ushirika na Wadau wa Pamba nchini kimefanyika tarehe 13 Desemba, 2022 …

Soma Zaidi