Habari na Matangazo

VYAMA VYA USHIRIKA VYA AKIBA NA MIKOPO VYATAKIWA KUFANYA UWEKEZAJI NA KUTUMIA TEHAMA

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika - Udhibiti, Collins Nyakunga, amewataka Viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kufanya Uwekezaji na matumizi bora ya TEHAMA, na kuzingatia matakwa ya…

Soma Zaidi

TCDC IMEDHAMIRIA KUBORESHA MFUMO WA USHIRIKA - NSEKELA

Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania( TCDC), Abdumajid Nsekela, amesema TCDC imedhamiria kuboresha mfumo wa Ushirika na kuwa wa kibiashara na kisasa zaidi.Amesema lengo ni kuongeza ushiriki wa…

Soma Zaidi

MFUMO WA KUSAJILI WAKULIMA WA PAMBA KIDIGITALI WAANZISHWA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikisha na Bodi ya Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bodi ya Pamba Tanzania (TCB), na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) wameanzisha Mfumo wa kusajili wakulima…

Soma Zaidi

KAMPUNI ZA UNUNUZI WA MAZAO ZATAKIWA KUTEKELEZA AHADI ZAO KWA JAMII

Ahadi ziwe kisheria na maandishi, kurahisisha ufuatiliaji Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka viongozi wa Vyama Vikuu…

Soma Zaidi

WAKULIMA WA TUMBAKU WALIME NA MAZAO MENGINE - WAZIRI BASHE

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amewataka wadau wa zao la Tumbaku nchini kuwahamasisha wakulima wa zao hilo kulima mazao mengine kwenye maeneo yao badala ya kutegemea Tumbaku peke yake. Waziri Bashe…

Soma Zaidi

AMCOS ZA PAMBA ZATAKIWA KUSAJILI NA MAZAO MENGINE

Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe, amewataka Viongozi wa AMCOS kusajili mazao mengine yanayolimwa na wakulima katika Mikoa inayolima zao la Pamba. Mheshimiwa Bashe amesema wanaosajili wakulima wa…

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Husein Bashe akizungumza na Wanachama wa ISOWELO AMCOS katika Kijiji cha Mtwango Njombe.

SERIKALI YAAHIDI KUJENGA GHALA “ISOWELU AMCOS”

Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeahidi kujenga Ghala la kuhifadhia Viazi kwa  Chama cha Msingi cha Ushirika ISOWELU AMCOS kilichopo mkoani Njombe.Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe ametoa…

Soma Zaidi

BODI ZA VYAMA VYA USHIRIKA ZATAKIWA KUSIMAMIA IPASAVYO VYAMA VYAO

Wajumbe wa Bodi za Vyama vya Ushirika wametakiwa kusimamia ipasavyo Vyama Vyao ili mali na Wanaushirika ziweze kutumika kuwaletea maendeleo na kuvifanya VYama hivyo kuwa endelevu na kuaminika kwa wadau…

Soma Zaidi