Habari na Matangazo

Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango Akizungumza na watumishi wa TCDC  katika Maonyesho ya Wiki ya Huduma za Fedha Mkoani Mwanza

MAKAMU WA RAIS AWATAKA WASIMAMIZI WA HUDUMA ZA FEDHA KUTAZAMA UPYA MASHARTI YAO

Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, amezitaka Taasisi za Sekta za Huduma za Fedha kulegeza masharti ya mikopo ili kuweza kuwasaidia Wananchi kwa kupunguza riba za mikopo na hata wao  kupunguza gharama za…

Soma Zaidi

TABORA, KIGOMA, KATAVI NA SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Serikali kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika imetoa mafunzo kwa Maafisa Ushirika, Maafisa  TEHAMA, Mameneja na Warajis Wasaidizi wa Vyama vya Ushirika wa mikoa ya Tabora, Kigoma, Katavi na…

Soma Zaidi

SHINYANGA YATOA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA WA PAMBA

Ofisi ya Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga imeanza utekelezaji wa Program ya mafunzo kwa vitendo yanatolewa kwa watendaji wa Vyama vya Ushirika vinavyojishughulisha na kilimo cha…

Soma Zaidi
Mtendaji Mkuu TCDC Dkt Benson Ndiege(wapili kulia) akifungua Ghala la Namitili AMCOS Tunduru

VYAMA VYA USHIRIKA HAKIKISHENI MIZANI ZINAKAGULIWA NA WAKALA WA VIPIMO - MRAJIS

Mrajis wa Vyama Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amezitaka Bodi na Menejimenti  za Vyama Vya Ushirika kuhakikisha mizani zote zimekaguliwa na Wakala…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA HAKIKISHENI MIZANI ZINAKAGULIWA NA WAKALA WA VIPIMO - MRAJIS

Mrajis wa Vyama Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amezitaka Bodi na Menejimenti  za Vyama Vya Ushirika kuhakikisha mizani zote zimekaguliwa na Wakala…

Soma Zaidi
Viongozi wa TANECU LTD wakiwa katika picha ya pamoja na Mrajis wa vyama vya Ushirika, Mkurugenzi Mtendaji wa (WRRB) na Mkurugenzi Mtendaji (NIC)

VIONGOZI WA VYAMA VIKUU WATAKIWA KUWA WABUNIFU NA KUTAFUTA MASOKO

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege, amewataka Viongozi wa Vyama Vikuu vya Ushirika (UNION) kuwa wabunifu katika kuwahuduma wakulima na kuacha…

Soma Zaidi
Naibu Mrajis Colins Nyakunga akizungumza katika kikao cha Wafilisi wa Vyama vya Ushirika vilivyofutwa katika Mikoa ya Tanzania Bara

MAAFISA USHIRIKA WATAKIWA KUFUATA MAADILI YA KAZI ZAO

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika anayesimamia Udhibiti, Colins Nyakunga amewataka Maafisa Ushirika kufanya kazi kama Maadili ya Kazi zao yanavyowaelekeza  katika Utendaji. Bw. Nyakunga meyasema hayo…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KULIPA FEDHA ZA MAUZO YA KOROSHO KWA WAKATI

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameagiza Vyama vya Ushirika kulipa fedha za mauzo ya Korosho kwa wakulima na kwa…

Soma Zaidi