Habari na Matangazo

VYAMA VYA USHIRIKA VYA MAZAO VYATAKIWA KUTUMIA MIZANI ZA KIDIGITALI WAKATI WA MAUZO YA MAZAO YAO

Vyama vya Ushirika vya mazao vimetakiwa kuhakikisha vinatumia mizani ya kidigitali katika mauzo ya mazao ya Wakulima wakati wa msimu. Hayo yameelezwa na Kaimu Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Consolata…

Soma Zaidi

MRAJIS AVIAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI KUPANDA MITI NA KUTUNZA MAZINGIRA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameviagiza Vyama vya Ushirika nchini kuendeleza zoezi la la upandaji wa miti katika maeneo yao…

Soma Zaidi

HAKIKISHENI VIPAUMBELE VYA TUME VINATEKELEZWA - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka Watumishi wa TCDC na watendaji wa Vyama vya Ushirika kutekeleza vipaumbele vya saba(7) vya Tume kama…

Soma Zaidi

JENGO LA OFISI YA CHAMA  KIKUU CHA USHIRIKA LINDI MWAMBAO LILILOGHALIMU SHILINGI  416,904,460 LAZINDULIWA

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania,  Dkt. Benson Ndiege, amezindua  jengo la Ofisi ya Chama  Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao lililoghalimu shiling  416,904,460…

Soma Zaidi

RUNALI  WAJENGA KIWANDA CHA KUKAMUA MAFUTA CHENYE THAMANI YA SHILINGI 143,816,000

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amekipongeza Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale RUNALI LTD kwa  kujenga Kiwanda cha…

Soma Zaidi

NAIBU WAZIRI AZINDUA MATUMIZI YA MIZANI ZA KIDIGITALI ZILIZOUNGANISHWA NA MFUMO ‘MUVU’

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo,  Mhe. David Silinde, amezindua matumizi ya Mizani za Kidigitali zilizounganishwa na Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU)  utakaoimarisha utendaji na…

Soma Zaidi