Habari na Matangazo

NAIBU WAZIRI SILINDE AWATAKA VIONGOZI WA USHIRIKA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU NA UAMINIFU

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amewataka Viongozi wa Vyama vya Ushirika na Maafisa Ushirika kufanya kazi kwa werevu, Uadilifu na Uaminifu. Amesema Viongozi wa Vyama na Maafisa Ushirika wakifanya…

Soma Zaidi
Viongozi wa Vyama vya Ushirika wakiangalia Mbolea katika  Kiwanda cha Mbolea cha  INTRACOM FERTILIZER LIMITED walipotembelea kiwandani hapo Jijini Dodoma

TCDC KUSIMAMIA IPASAVYO MKATABA KATI YA VYAMA VYA USHIRIKA NA KIWANDA CHA MBOLEA CHA INTRACOM

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amemhakikishia Mkurugenzi wa kiwanda cha mbolea cha INTRACOM kuwa mikataba itakayoingiwa na Vyama Vya Ushirika na…

Soma Zaidi

MAKAMISHNA WA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA WATEMBELEA VITEGA UCHUMI VYA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA NYANZA

Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), wamefanya ziara ya kutembelea vitega uchumi vya Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza (NCU) ikiwemo Majengo na Hosteli zilizopo katikati ya Jiji la Mwanza…

Soma Zaidi

CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA KARAGWE CHAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amezindua miradi ya Shilingi 899,123,987 iliyotekelezwa kwa fedha za ruzuku ya jamii zilizotokana na mauzo ya…

Soma Zaidi

MRAJIS AKIPONGEZA KACU KWA KULIPA MKOPO TADB KWA AJILI YA KUNUNUA PAMBA

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania(TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amekipongeza Chama Kikuu cha Ushirika cha Kahama( KACU) kwa kuweza kulipa deni la mwaka 2022 na 2023 walilokopa Benki…

Soma Zaidi

MRAJIS ATOA ONYO KWA VIONGOZI WA VYAMA  WANAOISHI KATIKA UONGOZI  KIJANJA NA KUACHA KUFUATA SHERIA NA MIONGOZO YA USHIRIKA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania(TCDC), Dkt. Benson Ndiege,   ametoa onyo kwa viongozi wa Vyama vya Ushirika ambao bado wanaishi katika uongozi wa…

Soma Zaidi

CORECU YAUZA KOROSHO  TANI 3,857 KWA BEI YA WASTANI WA SHILINGI 2,094.46 MNADA WA KWANZA

Chama Kikuu cha Ushirika wa Mkoa wa Pwani, CORECU LTD leo Novemba 01, 2023 kimefanya mnada wake wa Kwanza wa zao la Korosho  katika Wilaya ya Kibiti Mkoani humo ambapo jumla ya Tani 3,857 zilipelekwa…

Soma Zaidi

RAS MWANZA AZITAKA SACCOS KUJIUNGA NA SCCULT

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza,  Elikana Balandya ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kujiunga na Muungano wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania (SCCULT) ili kuwa na…

Soma Zaidi