Habari na Matangazo

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUWASAIDIA WANACHAMA WAO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeviagiza Vyama vya Ushirika nchini kuwasaidia wanachama wao na sio kuwa mzigo kwa wanachama ikiwemo kukomesha ubadhilifu katika Vyama…

Soma Zaidi

WAZAZI  SEKONDARI NYAISHOZI WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA WATOTO WAO  

WAZAZI  SEKONDARI NYAISHOZI WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA WATOTO WAO   Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt Benson Ndiege ametoa  rai kwa wazazi wa…

Soma Zaidi

MRAJIS ATOA WITO KWA AMCOS KUKATA BIMA YA MAZAO

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ametoa wito kwa AMCOS zote nchini kuingia katika mpango maalum wa kukata Bima ya mazao ili kuweza kulinda…

Soma Zaidi

MIFUMO YA KIDIGITALI YA VYAMA VYA USHIRIKA IUNGANISHWE NA MUVU - NAIBU MRAJIS

Watoa Huduma katika Vyama Vya Ushirika wametakiwa kuhakikisha mifumo yao inaunganishwa na Mfumo wa Kidigitali wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika( MUVU). Wito huo umetolewa na Naibu Mrajis wa Vyama vya…

Soma Zaidi

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika  kushirikiana na Wawekezaji kwa maslahi ya Wanaushirika kwa kufuata Miongozo ya Uwekezaji. Dkt.…

Soma Zaidi

MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika kufanya Mikataba kwa uwazi kwa kuhusisha wadau husika na Mikataba hiyo ili kuepusha…

Soma Zaidi

WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Watumishi Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania wameungana na wanawake wengine wa Jiji la Dodoma katika kuadhimisha Siku ya Wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka. Maadhimisho…

Soma Zaidi

MAMCU YAJIIMARISHA KIUCHUMI, YAANZISHA MASHAMBA YA MFANO

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) ameeleza kuwa Suala la Vyama vya Ushirika wa Kilimo kuwa na mashamba ndiyo mwelekeo wa Ushirika nchini ambao unataka  Vyama kuwa na…

Soma Zaidi