Habari na Matangazo

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika  kushirikiana na Wawekezaji kwa maslahi ya Wanaushirika kwa kufuata Miongozo ya Uwekezaji. Dkt.…

Soma Zaidi
MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika kufanya Mikataba kwa uwazi kwa kuhusisha wadau husika na Mikataba hiyo ili kuepusha…

Soma Zaidi
WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Watumishi Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania wameungana na wanawake wengine wa Jiji la Dodoma katika kuadhimisha Siku ya Wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka. Maadhimisho…

Soma Zaidi

MAMCU YAJIIMARISHA KIUCHUMI, YAANZISHA MASHAMBA YA MFANO

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) ameeleza kuwa Suala la Vyama vya Ushirika wa Kilimo kuwa na mashamba ndiyo mwelekeo wa Ushirika nchini ambao unataka  Vyama kuwa na…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA   VYATAKIWA KUIMARISHA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIGITALI

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameeleza kuwa,   ili Ushirika uzidi kusimama na kukua vizuri ni lazima matumizi ya mifumo ya kidigitali…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI, MIONGOZO NA TARATIBU ZA USHIRIKA KATIKA UENDESHAJI

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika -Udhibiti, Collins Nyakunga, ametoa wito kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika Nchini kuhakikisha  wanafuata na kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu za Ushirika pamoja na…

Soma Zaidi

WAKULIMA WATAKIWA KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ametoa rai kwa wakulima nchini kuendelea kujiunga na Vyama vya Ushirika ili waweze kunufaika na fursa zinazopatikana…

Soma Zaidi

DC KYOBYA AIPONGEZA TCDC NA KUITAKA KUONGEZA KASI YA UANZISHWAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA KILOMBERO

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Mhe. Dunstan Kyobya, ameipongeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) katika kusimamia kusimamia Maendeleo ya Ushirika Nchini na  ametoa rai kwa Tume kuendelea…

Soma Zaidi