Habari na Matangazo

DC KYOBYA AIPONGEZA TCDC NA KUITAKA KUONGEZA KASI YA UANZISHWAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA KILOMBERO

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Mhe. Dunstan Kyobya, ameipongeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) katika kusimamia kusimamia Maendeleo ya Ushirika Nchini na  ametoa rai kwa Tume kuendelea…

Soma Zaidi

TCDC,WRRB NA TMX WAINGIA MAKUBALIANO NA CRDB FOUNDATION KWAAJILI YA MIKOPO NAFUU KWA VYAMA VYA USHIRIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC),Bodi ya Stakabadhi za Ghala(WRRB) na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) wamesaini Randama ya Makubaliano (MoU) na CRDB FOUNDATION kwa ajili ya kuviwezesha  Vyama…

Soma Zaidi
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TCDC CHAFANYIKA, MRAJIS AWATAKA WAJUMBE KUJADILI HOJA KWA UWAZI

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TCDC CHAFANYIKA, MRAJIS AWATAKA WAJUMBE KUJADILI HOJA KWA UWAZI

Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kimefanyika leo Januari 31, Jijini Dodoma, ambapo Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye pia ni Mrajis wa Vyama vya Ushirika na…

Soma Zaidi
Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Afisa Mtendaji Mkuu  wa Kampuni ya Tigo, Angelica Peshawar, wakiwa wameshika Randama ya Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kutoa huduma ya malipo kwa wakulima kwa Tigo Pesa  wanaouza mazao kupitia Vyama vya Ushirika.

TCDC YAINGIA MAKUBALIANO NA KAMPUNI YA TIGO KUTOA HUDUMA KWA WAKULIMA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Kampuni ya Tigo imesaini Randama ya Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kutoa huduma ya malipo kwa wakulima kwa Tigo Pesa  wanaouza mazao kupitia Vyama vya…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA VYA MAZAO VYATAKIWA KUTUMIA MIZANI ZA KIDIGITALI WAKATI WA MAUZO YA MAZAO YAO

Vyama vya Ushirika vya mazao vimetakiwa kuhakikisha vinatumia mizani ya kidigitali katika mauzo ya mazao ya Wakulima wakati wa msimu. Hayo yameelezwa na Kaimu Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Consolata…

Soma Zaidi
Mrajis Dkt. Benson Ndiege akiongea na Waandishi wa Habari wakati wa Upandaji Miti hivi karibuni Jijini Dodoma

MRAJIS AVIAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI KUPANDA MITI NA KUTUNZA MAZINGIRA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameviagiza Vyama vya Ushirika nchini kuendeleza zoezi la la upandaji wa miti katika maeneo yao…

Soma Zaidi