SPIKA WA BUNGE AZINDUA JENGO LA CHAMA CHA USHIRIKA LULU SACCOSS
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, tarehe 5 Agosti, 2022 amezindua jengo la Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha LULU SACCOS, Jijini Mbeya.Akizungumza katika hafla…
Soma Zaidi