KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI KUANDAA MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imeipongeza Serikali kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa kuaandaa Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika. Waheshimiwa wabunge wa Kamati hiyo…
Soma Zaidi