Habari na Matukio

VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MAMCU NA TANECU VYATOA MILIONI 100 KUCHANGIA ELIMU, MTWARA

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti, amepokea Shilingi Milioni 100 kutoka Vyama Vikuu vya Ushirika vya MAMCU na TANECU kwa ajili ya kuboresha Elimu mkoani Mtwara. Akipokea fedha hizo…

Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA KILIMANJARO YAADHIMISHA MWAKA MMOJA KWA MAFANIKIO

Benki ya Ushirika  Kilimanjaro (KCBL)  Alhamis, Februari 03, 2022 imeadhimisha mwaka mmoja tangu kuanzishwa  kwake, ambapo Benki hiyo imefanikiwa pamoja na mambo mengine kutoa mikopo kwa…

Soma Zaidi

Wito Watolewa Ushirika Kuongeza Kasi Ya Viwanda

Wito Watolewa Ushirika Kuongeza Kasi Ya Viwanda  Vyama vya Ushirika vimetakiwa kuendeleza viwanda vinavyochakata bidhaa zinazozalishwa na Vyama hivyo kwa kuongeza thamani ya mazao yake ili kuweza…

Soma Zaidi

Mnada wa Kwanza wa Mbaazi TUNDURU waingiza Shilingi (Tsh) 466,623,690.00.

AUCTION OF ONE OF PEAS TUNDURU EARN TSH. 466,623,690.00 The first auction for the sale of peas in Tunduru district in Ruvuma region was held today, August 12, 2021 through the Warehouse…

Soma Zaidi

Serikali Kuimarisha Kilimo cha Zabibu- Waziri Mkuu

Serikali Kuimarisha Kilimo cha Zabibu- Waziri Mkuu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imedhamiria kuliongeza zao la zabibu kuwa miongoni mwa mazao ya kimkakati ili kungeza thamani zao hilo…

Soma Zaidi