Habari na Matangazo

WANAUSHIRIKA JIJINI DODOMA WAJENGEWA UWEZO

WANAUSHIRIKA JIJINI DODOMA WAJENGEWA UWEZO Wanaushirika na wakazi wa Jiji la Dodoma wamepata fursa ya kujengewa uwezo katika maeneo mbalimbali kupitia mafunzo, maonesho pamoja na majadiliano yanayofanyika…

Soma Zaidi

Mauzo ya Ufuta

TAARIFA YA WIKI YA MWENENDO WA MASOKO NA MAUZO KUPITIA USHIRIKA KUFIKIA TAREHE 20 MEI, 2024

Soma Zaidi

WAZIRI MKUU AMEWATAKA WAKULIMA KUHAKIKISHA WANAPELEKA KAKAO SAFI KATIKA MAGHALA

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amewataka wakulima kuhakikisha wanapeleka Kakao safi katika maghala na waache kuchanganya na takataka kwani inaharibu sifa ya zao hilo inaposafirishwa nje ya nchi. Ametoa…

Soma Zaidi

BODI YA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CORECU WATAKIWA KUZINGATIA MASLAHI YA WANAUSHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa Bodi mpya ya  Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Pwani (CORECU - 1984 LTD) kufanya kazi kwa kusimamia misingi ya Ushirika na kwa maslahi ya…

Soma Zaidi
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Mariam Ditopile akizungumza wakati wa kupokea Taarifa ya Maendeleo ya Uanzishwaji wa Benki ya Ushirika Tanzania.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUWASAIDIA WANACHAMA WAO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeviagiza Vyama vya Ushirika nchini kuwasaidia wanachama wao na sio kuwa mzigo kwa wanachama ikiwemo kukomesha ubadhilifu katika Vyama…

Soma Zaidi

WAZAZI  SEKONDARI NYAISHOZI WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA WATOTO WAO  

WAZAZI  SEKONDARI NYAISHOZI WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA WATOTO WAO   Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt Benson Ndiege ametoa  rai kwa wazazi wa…

Soma Zaidi

MRAJIS ATOA WITO KWA AMCOS KUKATA BIMA YA MAZAO

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ametoa wito kwa AMCOS zote nchini kuingia katika mpango maalum wa kukata Bima ya mazao ili kuweza kulinda…

Soma Zaidi