Habari na Matangazo

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) 2024 KUFANYIKA TABORA JUNI 29 - JULAI 06, 2024

Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) kwa mwaka 2024 yatafanyika kuanzia tarehe 29/06/2024 hadi tarehe 06/07/2024 kwenye viwanja vya Nanenane (Ipuli) Mkoani Tabora ambapo wananchi wote vikiwemo Vyama…

Soma Zaidi

USHIRIKA WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA KUONDOA UMASIKINI- DC, MBOZI

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mhe. Ester Mahawe amevitaka vyama vya wa Ushirika wa Mazao ya Mbogamboga na matunda kuongeza uzalishaji wa mazao hayo ili kuondokana na umasikini. Ametoa kauli hiyo leo Juni 5, 2024…

Soma Zaidi

VIONGOZI USHIRIKA WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA SONGWE WANOLEWA

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Songwe, Benjamin Mangwala, amewataka viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao ya Mbogamboga na Matunda kuwa chachu ya kuvutia Wananchi wengi zaidi kujiunga na Vyama…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUTUMIA MAPENDEKEZO YA TAFITI ZA USHIRIKA KUONGEZA MAARIFA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Zanzibar, Khamis Simba, ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika kutumia Tafiti za Ushirika kuongeza maarifa na kutumia mapendekezo ya Tafiti  kubuni mbinu za kuendesha…

Soma Zaidi

TAFITI ZIJIBU CHANGAMOTO ZA SEKTA YA USHIRIKA - KM KILIMO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, amewataka Wataalamu  pamoja na Wanaushirika kutumia Tafiti za Ushirika   kutatua changamoto za Sekta ya Ushirika. Ametoa agizo hilo wakati…

Soma Zaidi

TAARIFA YA WIKI YA MWENENDO WA MASOKO NA MAUZO YA KAKAO KUPITIA USHIRIKA KUFIKIA TAREHE 26 MEI,2024

TAARIFA YA WIKI YA MWENENDO WA MASOKO NA MAUZO YA KAKAO KUPITIA USHIRIKA KUFIKIA TAREHE 26 MEI,2024

Soma Zaidi

TAARIFA YA WIKI YA MWENENDO WA MASOKO NA MAUZO YA UFUTA KUPITIA USHIRIKA KUFIKIA TAREHE 26 MEI,2024

TAARIFA YA WIKI YA MWENENDO WA MASOKO NA MAUZO YA UFUTA KUPITIA USHIRIKA KUFIKIA TAREHE 26 MEI,2024

Soma Zaidi

RC DODOMA AWATAKA VIONGOZI NA WANAUSHIRIKA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU KATIKA UENDESHAJI WA VYAMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka viongozi na Wanaushirika kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu za Ushirika katika uendeshaji wa vyama  ili kujenga Ushirika Imara wenye nguvu…

Soma Zaidi