UZINDUZI WA VIHENGE, MAGHALA YA KISASA NA MSIMU WA UNUNUZI WA NAFAKA - 2024/2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua vihenge, maghala ya kisasa na msimu wa ununuzi wa nafaka wa mwaka 2024/2025 katika Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai 2024. Mhe. Rais…
Soma Zaidi