WATUMISHI WA TCDC WAPIGWA MSASA MAAMBUKIZI YA VVU/UKIMWI NA MAGONJWA SUGU YASIYOAMBUKIZA
Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Collins Nyakunga, ametoa wito kwa Watumishi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuzingatia Kanuni za Afya kwa lengo la kujikinga na maambukizi ya VVU/UKIMWI…
Soma Zaidi