Habari na Matukio

KONGAMANO LA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA LAFANYIKA KWA MAFANIKIO

KONGAMANO LA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA LAFANYIKA KWA MAFANIKIO Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe leo tarehe 30 Juni, 2022 amefungua Kongamano la Mfumo wa Stakabadhi za…

Soma Zaidi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian amewataka Wanawake nchini kujiunga katika Vyama vya Ushirika ili kuwawezesha kupata Mitaji na kuanzisha biashara mbalimbali ikiwemo Viwanda…

Soma Zaidi

TCDC NA NMB ZAINGIA MAKUBALIANO UJENZI WA MAGHALA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA

TUME YA USHIRIKA NA BENKI YA NMB ZAINGIA MAKUBALIANO UJENZI WA MAGHALA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeingia Randama ya Makubaliano na Benki ya NMB kushirikiana…

Soma Zaidi

TANGAZO LA NAFASI ZA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) inawatangazia Watumishi wa Umma kuwepo kwa nafasi wazi 19 za kuhamia katika kada mbalimbali. Nafasi hizi zinategemewa kujazwa katika Ofisi za Tume Makao Makuu -…

Soma Zaidi

TUNAENDA KUWA NA USHIRIKA WA KUZALISHA UTAJIRI -  NAIBU WAZIRI WA KILIMO

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Antony Mavunde, amesema kutokana na Tafiti zinazofanyika kwenye Sekta ya Ushirika, sasa Ushirika unaenda kuwa wa kuzalisha utajiri na sio migogoro na matatizo. Naibu Waziri Mavunde…

Soma Zaidi

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI KUANDAA MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imeipongeza Serikali kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa kuaandaa Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika.  Waheshimiwa wabunge wa Kamati hiyo…

Soma Zaidi

WAFANYAKAZI WA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA TCDC KATIKA MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2022

Wafanyakazi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Leo Mei 01, 2022 wameshiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya MEI MOSI Kitaifa Jijini Dodoma, ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,…

Soma Zaidi