Taarifa kwa Vyombo vya Habari

TUNDURU WAKUSANYA UFUTA TANI 2300 KUPITIA STAKABADHI GHALANI

Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imefanikiwa kukusanya ufuta zaidi ya tani 2300 kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani. Hayo yamesemwa na Meneja wa Ghala la Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMCU) Sarah Chirwo…

Soma Zaidi

TCDC KATIKA MAONESHO YA 46 YA KIMATAIFA YA BIASHARA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) inashiriki Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara yaliyoanza rasmi tarehe 28 Juni, 2022 hadi 13 Julai, 2022. Kupitia Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya viwanja…

Soma Zaidi

NITAULINDA USHIRIKA KWA KUWA NDIYO MFUMO WA KUMKOMBOA MNYONGE - WAZIRI BASHE

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amesema ataulinda na kuutetea Mfumo wa Ushirika popote kwa kuwa ndiyo mkombozi kwa watu wanyonge. Mhe. Bashe amesema hayo wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya…

Soma Zaidi

MCHAKATO WA UANZISHWAJI BENKI YA USHIRIKA  UFANYIKE MAPEMA - DKT. ISHENGOMA

MCHAKATO WA UANZISHWAJI BENKI YA USHIRIKA  UFANYIKE MAPEMA - DKT. ISHENGOMA Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo, Ufugaji na Maji,  Mhe. Dkt. Christine Ishengoma amesema; ili kuongeza tija…

Soma Zaidi

KONGAMANO LA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA LAFANYIKA KWA MAFANIKIO

KONGAMANO LA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA LAFANYIKA KWA MAFANIKIO Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe leo tarehe 30 Juni, 2022 amefungua Kongamano la Mfumo wa Stakabadhi za…

Soma Zaidi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian amewataka Wanawake nchini kujiunga katika Vyama vya Ushirika ili kuwawezesha kupata Mitaji na kuanzisha biashara mbalimbali ikiwemo Viwanda…

Soma Zaidi