TUNDURU WAKUSANYA UFUTA TANI 2300 KUPITIA STAKABADHI GHALANI
Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imefanikiwa kukusanya ufuta zaidi ya tani 2300 kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani. Hayo yamesemwa na Meneja wa Ghala la Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMCU) Sarah Chirwo…
Soma Zaidi