Habari na Matangazo

RC - BABU AWATAKA WANANCHI KILIMANJARO KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu amewataka wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kujiunga kwa wingi kwenye vyama vya Ushirika. Hayo ameyasema leo Mei 14, 2026 katika ufunguzi wa Jukwaa la tano la Wadau…

Soma Zaidi

MLINZI WA KWANZA WA MALI ZA USHIRIKA NI MWANAUSHIRIKA MWENYEWE - MRAJIS

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka wanaushirika kote nchini kuwa walinzi wa kwanza wa mali za vyama vyao kwa…

Soma Zaidi

RC- KUNENGE APONGEZA MAFANIKIO YA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya ushirika mkoani humo, akibainisha kuwa ushirikiano madhubuti kati ya serikali, taasisi na vyama vya…

Soma Zaidi

KAMPENI YA LINDA USHIRIKA, CHAGUA UADILIFU YAZINDULIWA RASMI

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imenzindua rasmi Kampeni ya "Linda Ushirika, Chagua Uadilifu". Uzinduzi huo umefanyika leo  Aprili 24, jijini Dodoma na Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo…

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Ushirika Joint Enterprise (UJE) uliofanyika jijini Dodoma, Machi 27, 2026

WANAUSHIRIKA WATAKIWA KUKAMILISHA UMILIKI WA ASILIMIA 51 BENKI YA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amewataka wanaushirika nchini kukamilisha ununuzi wa hisa katika Benki ya Ushirika ili kufikia asilimia 51, kuwawezesha kumiliki   benki hiyo…

Soma Zaidi
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt. Benson Ndiege na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Crispin Chalamila wakisaini Hati ya Makubaliano ya Mashirikiano (MoU) kati ya TCDC na TAKUKURU Machi 25,2026

TCDC NA TAKUKURU KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KATIKA USHIRIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuimarisha ushirikiano katika Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwenye Vyama vya Ushirika nchini. Taasisi hizo…

Soma Zaidi

TEHAMA KIPAUMBELE CHA SERIKALI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka amesema matumizi ya TEHAMA ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali kutokana na kurahisisha huduma kwa Wananchi. Amesema hayo wakati akiongea kwenye Kikao kazi…

Soma Zaidi