Habari na Matangazo

TCDC NA TAKUKURU KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KATIKA USHIRIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuimarisha ushirikiano katika Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwenye Vyama vya Ushirika nchini. Taasisi hizo…

Soma Zaidi

TEHAMA KIPAUMBELE CHA SERIKALI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka amesema matumizi ya TEHAMA ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali kutokana na kurahisisha huduma kwa Wananchi. Amesema hayo wakati akiongea kwenye Kikao kazi…

Soma Zaidi

WAZIRI CHONGOLO AIAGIZA KAMISHENI YA TCDC KUSIMAMIA KIKAMILIFU MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIJITALI KWENYE USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuhakikisha inasimamia kikamilifu mifumo ya Kidijitali inayotumika kwenye Sekta ya Ushirika ili mifumo hiyo iweze…

Soma Zaidi

SACCOS NGUVU YA UCHUMI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Elijah Mwandumbya amesema Serikali itaendelea kuimarisha na kusimamia Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) ili viweze kuchochea kasi katika shughuli za…

Soma Zaidi

TAASISI ZA USHIRIKA, BIMA NA FEDHA KWA PAMOJA KUANZA USAJILI WA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC), Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Konsotia ya Bima za Kilimo (TAIC), taasisi za kifedha pamoja na wadau wa…

Soma Zaidi