Habari na Matangazo

RAIS SAMIA AKABIDHI MATREKTA KWA VYAMA VYA USHIRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amevikabidhi Vyama vya Ushirika matrekta ya kilimo kwa ajili ya kuendelea kuimarisha sekta hiyo kupitia kuongeza uzalishaji wa mazao…

Soma Zaidi

USHIRIKA NGUZO MUHIMU KUELEKEA DIRA 2050 - DKT. NSEKELA

Mwenyekiti wa Bodi ya Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Abdulmajid Nsekela, amesema sekta ya ushirika ni nguzo muhimu katika kufikia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inayolenga…

Soma Zaidi

VIJANA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE USHIRIKA KWA MAENDELEO YA BAADAYE - WAZIRI NANAUKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amesisitiza umuhimu wa kuwapa vijana kipaumbele na fursa mbalimbali ndani ya sekta ya ushirika ili kujenga msingi imara wa kiuchumi na…

Soma Zaidi

USHIRIKA WACHOCHEA UCHUMI WA WAKULIMA NCHINI - MAKAMISHNA TCDC

Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) wamesema mafanikio makubwa yanayoendelea kushuhudiwa katika Sekta ya Ushirika yanaonyesha kuwa chachu ya kuongeza kipato cha wakulima, kupanua huduma…

Soma Zaidi

TUMIENI MIFUMO YA KIDIGITALI KUSIMAMIA VYAMA VYA USHIRIKA - MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesistiza umuhimu wa kutumia mifumo ya kidijitali katika kusimamia Vyama vya ushirika ikiwemo katika usambazaji wa mbolea…

Soma Zaidi

TUMIENI MAONESHO KUJIFUNZA TEKNOLOJIA MPYA ZA KILIMO - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Wakulima na wananchi wanaofika katika maonesho ya Nanenane kuyatumia maarifa wanayoyapata ili kuongeza tija katika Sekta za…

Soma Zaidi

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) YAFUNGULIWA JIJINI DODOMA:

TCDC Yasaini Makubaliano ya Kidijitali na Mix By Yas ​Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) yamefunguliwa rasmi leo Julai 5, 2026, jijini Dodoma. Sherehe hizi huwakutanisha wanaushirika kutoka…

Soma Zaidi
Mhe. David Silinde(Mb), Naibu Waziri wa Kilimo, akizungumza na Mjasiriamali katika Banda la maonesho kwenye maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani, Jijini Dodoma

WANAUSHIRIKA WAASWA KUWA WALINZI WAKUU WA AMANI NCHINI

Serikali imewataka wanaushirika nchini kuwa walinzi wakuu wa amani ya Tanzania, kuchagua viongozi waadilifu na kushiriki kikamilifu katika shughuli za vyama vya ushirika ili kuhakikisha sekta hiyo inaendelea…

Soma Zaidi