Yanayojiri

Habari Zinazojiri

MAKAMISHNA WA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA WATEMBELEA VITEGA UCHUMI VYA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA NYANZA

Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), wamefanya ziara ya kutembelea vitega uchumi vya Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza (NCU) ikiwemo Majengo na Hosteli… Soma Zaidi

CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA KARAGWE CHAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amezindua miradi ya Shilingi 899,123,987 iliyotekelezwa kwa fedha za ruzuku ya jamii… Soma Zaidi

MRAJIS AKIPONGEZA KACU KWA KULIPA MKOPO TADB KWA AJILI YA KUNUNUA PAMBA

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania(TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amekipongeza Chama Kikuu cha Ushirika cha Kahama( KACU) kwa kuweza kulipa deni la mwaka… Soma Zaidi

MRAJIS ATOA ONYO KWA VIONGOZI WA VYAMA  WANAOISHI KATIKA UONGOZI  KIJANJA NA KUACHA KUFUATA SHERIA NA MIONGOZO YA USHIRIKA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania(TCDC), Dkt. Benson Ndiege,   ametoa onyo kwa viongozi wa Vyama vya Ushirika ambao… Soma Zaidi

CORECU YAUZA KOROSHO  TANI 3,857 KWA BEI YA WASTANI WA SHILINGI 2,094.46 MNADA WA KWANZA

Chama Kikuu cha Ushirika wa Mkoa wa Pwani, CORECU LTD leo Novemba 01, 2023 kimefanya mnada wake wa Kwanza wa zao la Korosho  katika Wilaya ya Kibiti Mkoani humo ambapo jumla… Soma Zaidi