Habari Zinazojiri

NAIBU WAZIRI MKUU AVIPONGEZA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko, amevipongeza Vyama vya Ushirika nchini kutokana na mageuzi makubwa yanayoendelea kufanyika katika sekta hiyo. Ametoa pongezi hizo wakati… Soma Zaidi

CHAMA CHA USHIRIKA UDURU WASHINDA KESI, SHAMBA LARUDISHWA RASMI

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Hassan Bomboko, amesema kuwa, shamba la Chama cha Ushirika Uduru Makoa lenye ukubwa wa ekari 358 limepokelewa rasmi na chama hicho baada ya kushinda… Soma Zaidi

TCDC NA AGRI-GRADE WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA UTENDAJI(MOU)

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amesema Tume itaendelea kuimarisha na  kuboresha Sekta ya Ushirika kwa Ushirikiano na… Soma Zaidi