Yanayojiri

Habari Zinazojiri

RC - BABU AWATAKA WANANCHI KILIMANJARO KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu amewataka wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kujiunga kwa wingi kwenye vyama vya Ushirika. Hayo ameyasema leo Mei 14, 2026 katika… Soma Zaidi

MLINZI WA KWANZA WA MALI ZA USHIRIKA NI MWANAUSHIRIKA MWENYEWE - MRAJIS

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka wanaushirika kote nchini kuwa walinzi wa kwanza wa… Soma Zaidi

RC- KUNENGE APONGEZA MAFANIKIO YA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya ushirika mkoani humo, akibainisha kuwa ushirikiano madhubuti kati ya… Soma Zaidi

KAMPENI YA LINDA USHIRIKA, CHAGUA UADILIFU YAZINDULIWA RASMI

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imenzindua rasmi Kampeni ya "Linda Ushirika, Chagua Uadilifu". Uzinduzi huo umefanyika leo  Aprili 24, jijini Dodoma na Waziri… Soma Zaidi