WANAWAKE WAHIMIZWA KUWANIA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA
Naibu Mrajis - Uhamasishaji, Consolata Kiluma, ametoa wito kwa Wanawake kujitokeza kuwania Uongozi katika Vyama vya Ushirika ili kuongeza msukumo wa Maendeleo ya… Soma Zaidi
WANAUSHIRIKA ZANZIBAR WAFANYA ZIARA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI DODOMA
Watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Ushirika Zanzibar wamefanya ziara ya mafunzo katika Vyama vya Ushirika Mkoani Dodoma kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu… Soma Zaidi
MATUMIZI SAHIHI MFUMO WA KIDIGITALI KUONGEZA UFANISI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imekutana na Idara Maendeleo ya Ushirika Zanzibar kuweka mikakati ya mahusiano na mafunzo kuhusu matumizi sahihi ya mfumo… Soma Zaidi
MALI ZA USHIRIKA ZIWEKEZWE KWA TIJA- DKT. NINDI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ushirika& Umwagiliaji- Dkt.Stephen Nindi amevitaka vyama vya Ushirika kuwekeza Mali za Ushirika kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za… Soma Zaidi