Yanayojiri

Habari Zinazojiri

WANAUSHIRIKA WATAKIWA KUKAMILISHA UMILIKI WA ASILIMIA 51 BENKI YA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amewataka wanaushirika nchini kukamilisha ununuzi wa hisa katika Benki ya Ushirika ili kufikia asilimia 51, kuwawezesha kumiliki … Soma Zaidi

TCDC NA TAKUKURU KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KATIKA USHIRIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuimarisha ushirikiano katika Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwenye Vyama vya… Soma Zaidi

TEHAMA KIPAUMBELE CHA SERIKALI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka amesema matumizi ya TEHAMA ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali kutokana na kurahisisha huduma kwa Wananchi. Amesema hayo wakati… Soma Zaidi

WAZIRI CHONGOLO AIAGIZA KAMISHENI YA TCDC KUSIMAMIA KIKAMILIFU MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIJITALI KWENYE USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuhakikisha inasimamia kikamilifu mifumo ya Kidijitali inayotumika kwenye Sekta ya… Soma Zaidi