Yanayojiri

Habari Zinazojiri

WANAWAKE WAHIMIZWA KUWANIA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA

Naibu Mrajis - Uhamasishaji, Consolata Kiluma, ametoa wito kwa Wanawake  kujitokeza kuwania Uongozi katika Vyama vya Ushirika ili kuongeza msukumo wa Maendeleo ya… Soma Zaidi

WANAUSHIRIKA ZANZIBAR WAFANYA ZIARA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI DODOMA

Watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Ushirika Zanzibar wamefanya ziara ya mafunzo katika Vyama vya Ushirika Mkoani Dodoma kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu… Soma Zaidi

MATUMIZI SAHIHI MFUMO WA KIDIGITALI KUONGEZA UFANISI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imekutana na Idara  Maendeleo ya Ushirika Zanzibar kuweka mikakati  ya mahusiano na mafunzo kuhusu matumizi sahihi ya mfumo… Soma Zaidi

MALI ZA USHIRIKA ZIWEKEZWE KWA TIJA- DKT. NINDI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ushirika& Umwagiliaji- Dkt.Stephen Nindi amevitaka vyama vya Ushirika kuwekeza Mali za Ushirika kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za… Soma Zaidi