Yanayojiri

Habari Zinazojiri

TENGENEZENI MIFUMO,TARATIBU NA KANUNI IMARA ILI KUENDELEZA VYAMA - NAIBU KATIBU MKUU KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayesimamia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi amezitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya… Soma Zaidi

TCDC KUENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amesema Tume itaendelea kuwajengea uwezo Watumishi katika utendaji na utekelezaji wa… Soma Zaidi

IMARISHENI MIFUMO KUZUIA UPOTEVU WA FEDHA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA - NAIBU KATIBU MKUU, KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo – Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi, ameiagiza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuendelea kuimarisha na kuunda… Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI VYAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA VIWANDA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe, ametoa rai kwa Vyama vya Ushirika Nchini kuwekeza katika Kuanzisha na kuvimiliki Viwanda ili sehemu kubwa ya Viwanda… Soma Zaidi