Yanayojiri

Habari Zinazojiri

BENKI YA USHIRIKA TANZANIA KUENDESHWA KIBIASHARA- MHE. BASHE

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Benki ya Ushirika Tanzania itakuwa ni Benki ambayo itaongozwa na misingi ya Kibiashara ili kuleta tija na maendeleo kwa… Soma Zaidi

VIWANGO VYA KISHERIA   KURAHISISHA USIMAMIZI WA SACCOS KIMATAIFA

Viwango sawa vya utendaji na utoaji wa huduma za Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) vimetajwa kuwa chachu ya kuimarisha usimamizi na upimaji wa Vyama hivyo katika… Soma Zaidi

SAJILINI VYAMA VINGI VYA USHIRIKA - NAIBU WAZIRI KILIMO

Naibu Waziri wa Kilimo  wa Kilimo, Mhe. David Silinde, ameiagiza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuendendelea kusajili Vyama vingi vya Ushirika kwakuwa Ushirika… Soma Zaidi

TANECU YAANZA SAFARI YA KUWA NA USHIRIKA IMARA KWA KUJENGA KIWANDA

Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU Ltd. kimeanza safari ya kuwa na Ushirika imara kwa kujenga kiwanda cha kubangua korosho Newala, mkoani Mtwara kilichogharimu shilingi bilioni… Soma Zaidi