Yanayojiri

Habari Zinazojiri

RAIS SAMIA AKABIDHI MATREKTA KWA VYAMA VYA USHIRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amevikabidhi Vyama vya Ushirika matrekta ya kilimo kwa ajili ya kuendelea kuimarisha sekta hiyo kupitia… Soma Zaidi

USHIRIKA NGUZO MUHIMU KUELEKEA DIRA 2050 - DKT. NSEKELA

Mwenyekiti wa Bodi ya Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Abdulmajid Nsekela, amesema sekta ya ushirika ni nguzo muhimu katika kufikia Dira ya Taifa… Soma Zaidi

VIJANA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE USHIRIKA KWA MAENDELEO YA BAADAYE - WAZIRI NANAUKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amesisitiza umuhimu wa kuwapa vijana kipaumbele na fursa mbalimbali ndani ya sekta ya ushirika ili kujenga… Soma Zaidi

USHIRIKA WACHOCHEA UCHUMI WA WAKULIMA NCHINI - MAKAMISHNA TCDC

Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) wamesema mafanikio makubwa yanayoendelea kushuhudiwa katika Sekta ya Ushirika yanaonyesha kuwa chachu ya kuongeza… Soma Zaidi

TUMIENI MIFUMO YA KIDIGITALI KUSIMAMIA VYAMA VYA USHIRIKA - MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesistiza umuhimu wa kutumia mifumo ya kidijitali katika kusimamia Vyama vya ushirika ikiwemo… Soma Zaidi