Yanayojiri

Habari Zinazojiri

KAMPENI YA LINDA USHIRIKA, CHAGUA UADILIFU YAZINDULIWA RASMI

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imenzindua rasmi Kampeni ya "Linda Ushirika, Chagua Uadilifu". Uzinduzi huo umefanyika leo  Aprili 24, jijini Dodoma na Waziri… Soma Zaidi

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Ushirika Joint Enterprise (UJE) uliofanyika jijini Dodoma, Machi 27, 2026

WANAUSHIRIKA WATAKIWA KUKAMILISHA UMILIKI WA ASILIMIA 51 BENKI YA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amewataka wanaushirika nchini kukamilisha ununuzi wa hisa katika Benki ya Ushirika ili kufikia asilimia 51, kuwawezesha kumiliki … Soma Zaidi

Mrajis wa Vyama vya Ushirika Dkt. Benson Ndiege na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Crispin Chalamila wakisaini Hati ya Makubaliano ya Mashirikiano (MoU) kati ya TCDC na TAKUKURU Machi 25,2026

TCDC NA TAKUKURU KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KATIKA USHIRIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuimarisha ushirikiano katika Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwenye Vyama vya… Soma Zaidi

TEHAMA KIPAUMBELE CHA SERIKALI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka amesema matumizi ya TEHAMA ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali kutokana na kurahisisha huduma kwa Wananchi. Amesema hayo wakati… Soma Zaidi