RC - BABU AWATAKA WANANCHI KILIMANJARO KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu amewataka wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kujiunga kwa wingi kwenye vyama vya Ushirika. Hayo ameyasema leo Mei 14, 2026 katika… Soma Zaidi
MLINZI WA KWANZA WA MALI ZA USHIRIKA NI MWANAUSHIRIKA MWENYEWE - MRAJIS
Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka wanaushirika kote nchini kuwa walinzi wa kwanza wa… Soma Zaidi
RC- KUNENGE APONGEZA MAFANIKIO YA USHIRIKA
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya ushirika mkoani humo, akibainisha kuwa ushirikiano madhubuti kati ya… Soma Zaidi
KAMPENI YA LINDA USHIRIKA, CHAGUA UADILIFU YAZINDULIWA RASMI
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imenzindua rasmi Kampeni ya "Linda Ushirika, Chagua Uadilifu". Uzinduzi huo umefanyika leo Aprili 24, jijini Dodoma na Waziri… Soma Zaidi







