Yanayojiri

Habari Zinazojiri

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) YAFUNGULIWA JIJINI DODOMA:

TCDC Yasaini Makubaliano ya Kidijitali na Mix By Yas ​Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) yamefunguliwa rasmi leo Julai 5, 2026, jijini Dodoma. Sherehe hizi… Soma Zaidi

Mhe. David Silinde(Mb), Naibu Waziri wa Kilimo, akizungumza na Mjasiriamali katika Banda la maonesho kwenye maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani, Jijini Dodoma

WANAUSHIRIKA WAASWA KUWA WALINZI WAKUU WA AMANI NCHINI

Serikali imewataka wanaushirika nchini kuwa walinzi wakuu wa amani ya Tanzania, kuchagua viongozi waadilifu na kushiriki kikamilifu katika shughuli za vyama vya ushirika ili… Soma Zaidi

NAIBU WAZIRI SILINDE AWATAKA WANAUSHIRIKA KULINDA USHIRIKA

Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde amehitimisha kilele cha Jukwaa la Maendeleo ya Ushirika Mkoa wa Dodoma kilichoenda sambamba na kauli mbiu isemayo "Linda ushirika, chagua… Soma Zaidi

RC - BABU AWATAKA WANANCHI KILIMANJARO KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu amewataka wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kujiunga kwa wingi kwenye vyama vya Ushirika. Hayo ameyasema leo Mei 14, 2026 katika… Soma Zaidi