Habari na Matangazo

IMARISHENI MIFUMO KUZUIA UPOTEVU WA FEDHA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA - NAIBU KATIBU MKUU, KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo – Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi, ameiagiza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuendelea kuimarisha na kuunda mifumo mbalimbali ya Kidigitali…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI VYAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA VIWANDA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe, ametoa rai kwa Vyama vya Ushirika Nchini kuwekeza katika Kuanzisha na kuvimiliki Viwanda ili sehemu kubwa ya Viwanda Nchini   vimilikiwe na…

Soma Zaidi

MRAJIS ATEUA WAJUMBE WA BODI YA MPITO YA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA USHIRIKA TANZANIA (TFC)

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameteua Wajumbe wa Bodi ya Mpito ya Shirikisho la Vyama Vya Ushirika Tanzania Bara (TFC)  kwa mamlaka…

Soma Zaidi

TCDC NA CBE ZADHAMIRIA KUTOA MAFUNZO YA KUENDESHA USHIRIKA KIBIASHARA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amesema Tume imedhamiria kushirikiana na Wadau  kukuza na kuendeleza Ushirika ili  uweze kuendeshwa…

Soma Zaidi

SACCOS TUMIENI MIFUMO YA KIDIGITALI - NAIBU WAZIRI SILINDE

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo(SACCOS) kuendelea kutumia mifumo ya Kidigitali mbalimbali iliyopo sokoni inayoendana na uwezo wa Kifedha wa…

Soma Zaidi

TCDC YATOA ELIMU YA USHIRIKA CHEMBA

Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe. Halima Okash amewataka watendaji kusimamia ipasavyo miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Chemba ili kuendana na kasi ya utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita kwa lengo la…

Soma Zaidi