Habari na Matangazo

VYAMA VYA USHIRIKA   VYATAKIWA KUIMARISHA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIGITALI

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameeleza kuwa,   ili Ushirika uzidi kusimama na kukua vizuri ni lazima matumizi ya mifumo ya kidigitali…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI, MIONGOZO NA TARATIBU ZA USHIRIKA KATIKA UENDESHAJI

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika -Udhibiti, Collins Nyakunga, ametoa wito kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika Nchini kuhakikisha  wanafuata na kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu za Ushirika pamoja na…

Soma Zaidi

WAKULIMA WATAKIWA KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ametoa rai kwa wakulima nchini kuendelea kujiunga na Vyama vya Ushirika ili waweze kunufaika na fursa zinazopatikana…

Soma Zaidi

DC KYOBYA AIPONGEZA TCDC NA KUITAKA KUONGEZA KASI YA UANZISHWAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA KILOMBERO

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Mhe. Dunstan Kyobya, ameipongeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) katika kusimamia kusimamia Maendeleo ya Ushirika Nchini na  ametoa rai kwa Tume kuendelea…

Soma Zaidi

TCDC,WRRB NA TMX WAINGIA MAKUBALIANO NA CRDB FOUNDATION KWAAJILI YA MIKOPO NAFUU KWA VYAMA VYA USHIRIKA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC),Bodi ya Stakabadhi za Ghala(WRRB) na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) wamesaini Randama ya Makubaliano (MoU) na CRDB FOUNDATION kwa ajili ya kuviwezesha  Vyama…

Soma Zaidi
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TCDC CHAFANYIKA, MRAJIS AWATAKA WAJUMBE KUJADILI HOJA KWA UWAZI

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TCDC CHAFANYIKA, MRAJIS AWATAKA WAJUMBE KUJADILI HOJA KWA UWAZI

Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kimefanyika leo Januari 31, Jijini Dodoma, ambapo Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye pia ni Mrajis wa Vyama vya Ushirika na…

Soma Zaidi
Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Afisa Mtendaji Mkuu  wa Kampuni ya Tigo, Angelica Peshawar, wakiwa wameshika Randama ya Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kutoa huduma ya malipo kwa wakulima kwa Tigo Pesa  wanaouza mazao kupitia Vyama vya Ushirika.

TCDC YAINGIA MAKUBALIANO NA KAMPUNI YA TIGO KUTOA HUDUMA KWA WAKULIMA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Kampuni ya Tigo imesaini Randama ya Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kutoa huduma ya malipo kwa wakulima kwa Tigo Pesa  wanaouza mazao kupitia Vyama vya…

Soma Zaidi