Habari na Matangazo

KILELE CHA SIKUKUU YA WAKULIMA (NANENANE) - 2024

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akikabidhi Hundi ya Malipo ya fidia kwa Wanaushirika wenye BIMA ya Mazao iliyotolewa na Benki ya NBC. Mrajis na Mtendaji Mkuu wa TCDC, Dkt. Benson Ndiege, alipokea Hundi…

Soma Zaidi

WAKULIMA MSIWE NA MASHAKA NA MITAJI, NENDENI BENKI MKAPATE MITAJI - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wakulima wakiwemo Wanaushirika hapa nchini kutembelea Taasisi za kifedha kuweza kupata mitaji itakayoweza kuwasaidia katika…

Soma Zaidi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua vihenge, maghala ya kisasa na msimu wa ununuzi wa nafaka wa mwaka 2024/2025 katika Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai 2024.

UZINDUZI WA VIHENGE, MAGHALA YA KISASA NA MSIMU WA UNUNUZI WA NAFAKA - 2024/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua vihenge, maghala ya kisasa na msimu wa ununuzi wa nafaka wa mwaka 2024/2025 katika Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai 2024. Mhe. Rais…

Soma Zaidi

SERIKALI KUUNGA MKONO MAGEUZI NA MATOKEO CHANYA SEKTA YA USHIRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dotto Biteko amesema Serikali itaendelea kuunga mkono mageuzi chanya yanayofanyika kukuza sekta ya Ushirika. Ameyasema hayo wakati wa akifunga Maadhimisho ya…

Soma Zaidi

USHIRIKA UTUMIKE KUWAKOMBOA WANANCHI KIUCHUMI

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde (Mb) ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika pamoja na taasisi nyingine zinazohusika na Ushirika kusimamia vyema uendeshaji wa Vyama vya Ushirika ili viweze kutumika…

Soma Zaidi

WATOROSHAJI WA TUMBAKU WAONYWA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameonya baadhi ya Wanaushirika wasio waadilifu kuacha tabia ya kutorosha zao la Tumbaku na…

Soma Zaidi

MRAJIS AVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka vyama vya Ushirika kuongeza uzalishaji ili kufanya vyama viongeze tija kwa kuongeza wigo wa kibiashara na…

Soma Zaidi