Habari na Matangazo

MAAFISA USHIRIKA KANDA YA KASKAZINI WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa ya Manyara, Mhe. Queen Sendiga ametoa rai kwa Tume ya Maendeleo ya Ushirika kufanya mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika kama ambavyo wanapatiwa mafunzo Maafisa Ushirika. Amesema Maafisa…

Soma Zaidi

KIKAO CHA AWALI CHA MAANDALIZI YA TAARIFA YA UTENDAJI WA SACCOS KWA MWAKA 2024, CHAFANYIKA JIJINI DODOMA.

Naibu Mrajis - Udhibiti,  Collins Nyakunga, amewataka Watendaji wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) nchini kuhakikisha wanawasilisha taarifa za Vyama vyao ikiwemo kujaza madodoso…

Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA SASA IPO SOKONI - MD CBT

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Ushirika Tanzania (CBT), Godfrey Ng'urah, amesema Benki ya Ushirika ipo sokoni sasa na itakuwa Benki itakayoongoza kutoa Huduma Bora za kibenki kidijitali na kuchochea …

Soma Zaidi
Mrajis Dkt. Benson Ndiege na Mkuu wa Chuo cha Mipango Prof. Hozen Mayaya baada ya kusaini Randama ya Makubaliano (MoU) Jijini Dodoma hivi karibuni

TCDC YAINGIA MAKUBALIANO NA CHUO CHA MIPANGO

Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) imesaini Randama ya makubaliano (MoU) na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Januari 27, 2025 Jijini Dodoma katika kuongeza wigo wa ushirikiano na Wadau kwa ili…

Soma Zaidi

WAZIRI BASHE AHIMIZA BIMA YA MAZAO KUONGEZA TIJA KWA WAKULIMA

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amesema Bima ya Mazao itasaidia Wakulima kuondokana na Vihatarishi  kabla na Baada ya kuvuna mazao ya Wakulima ili  kuzalisha kwa tija na kuongeza kipato…

Soma Zaidi

TENGENEZENI MIFUMO,TARATIBU NA KANUNI IMARA ILI KUENDELEZA VYAMA - NAIBU KATIBU MKUU KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayesimamia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi amezitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC) na Muungano wa Vyama…

Soma Zaidi