Habari na Matangazo

BENKI YA USHIRIKA SASA IPO SOKONI - MD CBT

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Ushirika Tanzania (CBT), Godfrey Ng'urah, amesema Benki ya Ushirika ipo sokoni sasa na itakuwa Benki itakayoongoza kutoa Huduma Bora za kibenki kidijitali na kuchochea …

Soma Zaidi
Mrajis Dkt. Benson Ndiege na Mkuu wa Chuo cha Mipango Prof. Hozen Mayaya baada ya kusaini Randama ya Makubaliano (MoU) Jijini Dodoma hivi karibuni

TCDC YAINGIA MAKUBALIANO NA CHUO CHA MIPANGO

Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) imesaini Randama ya makubaliano (MoU) na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Januari 27, 2025 Jijini Dodoma katika kuongeza wigo wa ushirikiano na Wadau kwa ili…

Soma Zaidi

WAZIRI BASHE AHIMIZA BIMA YA MAZAO KUONGEZA TIJA KWA WAKULIMA

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amesema Bima ya Mazao itasaidia Wakulima kuondokana na Vihatarishi  kabla na Baada ya kuvuna mazao ya Wakulima ili  kuzalisha kwa tija na kuongeza kipato…

Soma Zaidi

TENGENEZENI MIFUMO,TARATIBU NA KANUNI IMARA ILI KUENDELEZA VYAMA - NAIBU KATIBU MKUU KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayesimamia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi amezitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC) na Muungano wa Vyama…

Soma Zaidi

TCDC KUENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amesema Tume itaendelea kuwajengea uwezo Watumishi katika utendaji na utekelezaji wa Majukumu yao ili kuongeza…

Soma Zaidi

IMARISHENI MIFUMO KUZUIA UPOTEVU WA FEDHA KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA - NAIBU KATIBU MKUU, KILIMO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo – Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi, ameiagiza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuendelea kuimarisha na kuunda mifumo mbalimbali ya Kidigitali…

Soma Zaidi