Tutumie Ushirika Kupata Masoko na Bei za Uhakika – Naibu Waziri Bashe
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe ametoa wito kwa Wakulima nchini kutumia Ushirika hususan Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwa lengo la kupata masoko na bei za uhakika. Wito huo umetolewa wakati wa…
Soma Zaidi