Habari na Matangazo

Ushirika Ujikite Katika Uchumi Wa Viwanda - Katibu Mkuu Kilimo

Vyama vya Ushirika wa mazao vimetakiwa kuchakata mazao yanayozalishwa na wakulima kwa kuongeza mnyororo wa thamani kupitia viwanda vya Ushirika ili kumnufaisha mkulima kwa kumwezesha kupata bei nzuri ya mazao…

Soma Zaidi

Naibu Waziri Bashe Ataka Ushirika Kujiendesha Kibiashara

Tume ya Maendeleo ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeagizwa kuhakisha kuwa Vyama vya Ushirika vinajiendesha kibiashara kwa kutumia misingi thabiti ya Ushirika pamoja na matumizi mazuri ya rasilimali…

Soma Zaidi

Ushirika mbinu bora ya kupambana na umasikini– DC MAHONGO

Ushirika ni kati ya njia thabiti zinazoweza kutumika katika kupambana na umaskini nchini hususan kwa wananchi wenye kipato cha chini kwa kupunguza changamoto za kiuchumi. Hayo yamesemwa leo Aprili 28, 2020 na…

Soma Zaidi

Warajis Wasaidizi Msifanye Kazi za Utendaji Katika Vyama Vya Ushirika – Dkt. Ndiege

Mrajis wa Vyama vya Ushirika nchini na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka Warajis Wasaidizi wa Vyama vya Ushirika wa mikoa kutokufanya kazi za…

Soma Zaidi

Sera ya Ushirika Msingi wa Mabadiliko Chanya ya Sekta ya Ushirika

Mkurugenzi wa Mipango Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Bw. Buji Bampebuye amesema wadau wote wa Ushirika wakitekeleza majukumu yao ya Kiushirika kupitia dira na mwelekeo wa Sera…

Soma Zaidi

Hakikisheni Kila Mkulima Anakuwa Na Akaunti Benki

Naibu Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe amewataka viongozi wa Vyama Vikuu vya Ushirika na Miradi ya Pamoja kuhakikisha kuwa wakulima watakaouza mazao yao kupitia Vyama vya Ushirika wanakuwa na Akaunti…

Soma Zaidi

Orodha Ya Vyama Vya Ushirika Vinavyokusudiwa Kufutwa Kwenye Rejista Ya Vyama Vya Ushirika

Mrajis wa Vyama vya Ushirika katika kufanya maboresho ya Daftari la Vyama vya Ushirika amefanya uchambuzi na kuainisha vyama ambavyo havitekelezi majukumu yake ya msingi kwa mujibu wa sheria ya Vyama vya…

Soma Zaidi