Serikali Yakusudia Kufuta Vyama Vvya Ushirika 3,436
Serikali kwa kuzingatia matakwa ya Sheria ya Vyama vya Ushirika, Namba 6 ya mwaka 2013, kifungu cha 100 na kanuni ya 26, inakusudia kufuta Vyama vya Ushirika 3,436 ambavyo havitekelezi majukumu yake ya msingi…
Soma Zaidi