Habari na Matukio

Serikali Haitaingilia Vyama ya Ushirika Vinavyofuata Sheria

SERIKALI haitaingilia Vyama vya Ushirika nchini vinavyofuata sheria na taratibu katika uendeshaji wake, isipokuwa pale panapojitokeza ukiukwaji wa Misingi ya Ushirika na panapokuwa na ubadhilifu wa mali za…

Soma Zaidi

Dkt. Kamani Akipongeza Chama cha Ushirika Milambo kwa Ubunifu

Chama Kikuu cha Ushirika cha Milambo kilichosajiliwa tarehe 18 Juni, 2018 kimepongezwa kutokana na mafanikio yaliyopatikana tangu kianzishwe kutokana na ubunifu katika kutekeleza majukumu yake ikiwa ni pamoja…

Soma Zaidi

Mafanikio Yaliyopatikana Ni Ya Watumishi Wote - Mrajis

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini (TCDC), Bw. Tito Haule, amewapongeza Watumishi wa Tume hiyo kutokana na mafanikio yaliyopatikana katika Sekta ya Ushirika…

Soma Zaidi

Waliokula Mali za Vyama vya Ushirika Wazirejeshe

Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini,  Dkt. Titus Kamani ametoa siku kumi na nne (14)  kwa watu waliochukua mali na fedha za vyama vya ushirika kuzirejesha katika vyama hivyo la sivyo…

Soma Zaidi