Serikali Kuimarisha Kilimo cha Zabibu- Waziri Mkuu

Serikali Kuimarisha Kilimo cha Zabibu- Waziri Mkuu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imedhamiria kuliongeza zao la zabibu kuwa miongoni mwa mazao ya kimkakati ili kungeza thamani zao hilo…

Soma Zaidi
MHE.WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA MAJALIWA AKITOA HOTUBA KATIKA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI (SUD) ILIYOFANYIKA KITAIFA MKOANI TABORA.

Serikali Imedhamiria Kuimarisha Ushirika

Serikali Imedhamiria Kuimarisha Ushirika. Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) amesema Serikali ina dhamira ya dhati kuhakikisha kuwa Vyama vya Ushirika vinaimarika na wakulima wanapata tija na…

Soma Zaidi

Jarida la Ushirika,Toleo la Tano(5) Januari - Machi, 2021

Jarida la Ushirika,Toleo la Tano(5) Januari - Machi, 2021

Soma Zaidi

CRDB na NHIF Zaingia Mkataba wa Makubaliano Kuboresha “Ushirika Afya”

CRDB na NHIF Zaingia Mkataba wa Makubaliano Kuboresha “Ushirika Afya” Dar Es Salaam, Benki ya CRDB imesaini mkataba wa makubaliano na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kurahisisha…

Soma Zaidi

Tafiti za Ushirika Kuleta Suluhu ya Changamoto za Ushirika

Tafiti za Ushirika Kuleta Suluhu  ya Changamoto za Ushirika. Tafiti za Ushirika zikitumika ipasavyo zimetajwa kuwa zinaenda kuongeza kasi na chachu ya maendeleo katika  utatuzi wa Changamoto…

Soma Zaidi