Yanayojiri

Habari Zinazojiri

TCDC YATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA NA MIFUMO YA KIDIGITALI KWENYE USHIRIKA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika & Umwagiliaji Dkt.Stephen Nindi ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kuimarisha usimamizi wa Vyama vya… Soma Zaidi

DKT. BENSON NDIEGE AZINDUA MALORI YA MIZIGO YA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA RUNALI

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, leo tarehe 15 Aprili 2025, amezindua rasmi malori saba ya kubebea mizigo yanayomilikiwa na… Soma Zaidi

RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA BENKI YA USHIRIKA

 Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan atazindua rasmi Benki ya Ushirika  Aprili 28, 2025… Soma Zaidi

BENKI YA USHIRIKA YATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Abdulmajid Nsekela ametoa wito kwa Benki ya Ushirika kutumia fursa  za Ushirika kuongeza tija kibiashara kwa… Soma Zaidi