Yanayojiri

Habari Zinazojiri

SACCOS NGUVU YA UCHUMI

Naibu Katibu Mkuu Elijah Mwandumbya amesema Serikali itaendelea kuimarisha na kusimamia Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) ili viweze kuchochea kasi katika shughuli za… Soma Zaidi

TAASISI ZA USHIRIKA, BIMA NA FEDHA KWA PAMOJA KUANZA USAJILI WA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC), Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Konsotia ya Bima za Kilimo (TAIC), taasisi za… Soma Zaidi

HAKIKISHENI WANAUSHIRIKA WANAPATA MIKOPO YA RIBA NAFUU KUPITIA BENKI YA USHIRIKA - RAIS SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) kuhakikisha  inatoa mikopo yenye riba nafuu kwa… Soma Zaidi

SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA USHIRIKA - WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema kuwa Serikali itaendelea kusimamia Ushirika hapa nchini na kuhakikisha Ushirika unamwinua Mkulima na… Soma Zaidi