Habari na Matangazo

Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Mussa Ali Mussa akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya MUVU mjini Morogoro

VYAMA VYA USHIRIKA VISAIDIE KUINUA UCHUMI WA WANACHAMA WAKE - RAS MOROGORO

Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, ametoa wito kwa viongozi wa Vyama vya Ushirika kufanya shughuli zao kwa lengo la kuwainua kiuchumi wanachama na kuacha kujinufaisha wenyewe. Dkt. Mussa…

Soma Zaidi
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Laurean Ndumbaru akizindua Baraza la Watumishi wa Tume

DKT NDUMBARO AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Laurean Ndumbaro amepongeza Menejimenti ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania kwa ufanyaji kazi wao wa kufuata kanuni na…

Soma Zaidi
Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango Akizungumza na watumishi wa TCDC  katika Maonyesho ya Wiki ya Huduma za Fedha Mkoani Mwanza

MAKAMU WA RAIS AWATAKA WASIMAMIZI WA HUDUMA ZA FEDHA KUTAZAMA UPYA MASHARTI YAO

Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, amezitaka Taasisi za Sekta za Huduma za Fedha kulegeza masharti ya mikopo ili kuweza kuwasaidia Wananchi kwa kupunguza riba za mikopo na hata wao  kupunguza gharama za…

Soma Zaidi

TABORA, KIGOMA, KATAVI NA SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Serikali kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika imetoa mafunzo kwa Maafisa Ushirika, Maafisa  TEHAMA, Mameneja na Warajis Wasaidizi wa Vyama vya Ushirika wa mikoa ya Tabora, Kigoma, Katavi na…

Soma Zaidi

SHINYANGA YATOA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA WA PAMBA

Ofisi ya Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga imeanza utekelezaji wa Program ya mafunzo kwa vitendo yanatolewa kwa watendaji wa Vyama vya Ushirika vinavyojishughulisha na kilimo cha…

Soma Zaidi
Mtendaji Mkuu TCDC Dkt Benson Ndiege(wapili kulia) akifungua Ghala la Namitili AMCOS Tunduru

VYAMA VYA USHIRIKA HAKIKISHENI MIZANI ZINAKAGULIWA NA WAKALA WA VIPIMO - MRAJIS

Mrajis wa Vyama Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amezitaka Bodi na Menejimenti  za Vyama Vya Ushirika kuhakikisha mizani zote zimekaguliwa na Wakala…

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA HAKIKISHENI MIZANI ZINAKAGULIWA NA WAKALA WA VIPIMO - MRAJIS

Mrajis wa Vyama Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amezitaka Bodi na Menejimenti  za Vyama Vya Ushirika kuhakikisha mizani zote zimekaguliwa na Wakala…

Soma Zaidi