JARIDA LAUSHIRIKA JULAI-SEPTEMBA , 2023 TOLEO NA: 014
Soma Zaidi
Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amezindua jengo la Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao lililoghalimu shiling 416,904,460…
Soma ZaidiMrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege, amekipongeza Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale RUNALI LTD kwa kujenga Kiwanda cha…
Soma ZaidiNaibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe. David Silinde, amezindua matumizi ya Mizani za Kidigitali zilizounganishwa na Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) utakaoimarisha utendaji na…
Soma ZaidiNaibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amewataka Viongozi wa Vyama vya Ushirika na Maafisa Ushirika kufanya kazi kwa werevu, Uadilifu na Uaminifu. Amesema Viongozi wa Vyama na Maafisa Ushirika wakifanya…
Soma ZaidiMrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amemhakikishia Mkurugenzi wa kiwanda cha mbolea cha INTRACOM kuwa mikataba itakayoingiwa na Vyama Vya Ushirika na…
Soma ZaidiMakamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), wamefanya ziara ya kutembelea vitega uchumi vya Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza (NCU) ikiwemo Majengo na Hosteli zilizopo katikati ya Jiji la Mwanza…
Soma ZaidiMrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amezindua miradi ya Shilingi 899,123,987 iliyotekelezwa kwa fedha za ruzuku ya jamii zilizotokana na mauzo ya…
Soma Zaidi