BENKI YA USHIRIKA YATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Abdulmajid Nsekela ametoa wito kwa Benki ya Ushirika kutumia fursa za Ushirika kuongeza tija kibiashara kwa Benki hiyo. Amesema hayo…
Soma Zaidi