Yanayojiri

Habari Zinazojiri

VIWANGO VYA KISHERIA   KURAHISISHA USIMAMIZI WA SACCOS KIMATAIFA

Viwango sawa vya utendaji na utoaji wa huduma za Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) vimetajwa kuwa chachu ya kuimarisha usimamizi na upimaji wa Vyama hivyo katika… Soma Zaidi

SAJILINI VYAMA VINGI VYA USHIRIKA - NAIBU WAZIRI KILIMO

Naibu Waziri wa Kilimo  wa Kilimo, Mhe. David Silinde, ameiagiza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kuendendelea kusajili Vyama vingi vya Ushirika kwakuwa Ushirika… Soma Zaidi

TANECU YAANZA SAFARI YA KUWA NA USHIRIKA IMARA KWA KUJENGA KIWANDA

Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU Ltd. kimeanza safari ya kuwa na Ushirika imara kwa kujenga kiwanda cha kubangua korosho Newala, mkoani Mtwara kilichogharimu shilingi bilioni… Soma Zaidi

RC HOMERA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA HUDUMA RASMI ZA KIFEDHA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Juma Homera, ametoa wito kwa Wananchi kutumia Huduma rasmi za Kifedha zilizosajiliwa na zenye kutambuliwa ili kuepuka usumbufu unaotokana na huduma za… Soma Zaidi