MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS
Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika kufanya Mikataba kwa uwazi kwa kuhusisha wadau husika na Mikataba hiyo ili kuepusha…
Soma Zaidi