Habari na Matukio

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI, MIONGOZO NA TARATIBU ZA USHIRIKA KATIKA UENDESHAJI

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika -Udhibiti, Collins Nyakunga, ametoa wito kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika Nchini kuhakikisha  wanafuata na kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu za Ushirika pamoja na…

Soma Zaidi
KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TCDC CHAFANYIKA, MRAJIS AWATAKA WAJUMBE KUJADILI HOJA KWA UWAZI

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI TCDC CHAFANYIKA, MRAJIS AWATAKA WAJUMBE KUJADILI HOJA KWA UWAZI

Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kimefanyika leo Januari 31, Jijini Dodoma, ambapo Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye pia ni Mrajis wa Vyama vya Ushirika na…

Soma Zaidi
Mrajis Dkt. Benson Ndiege akiongea na Waandishi wa Habari wakati wa Upandaji Miti hivi karibuni Jijini Dodoma

MRAJIS AVIAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI KUPANDA MITI NA KUTUNZA MAZINGIRA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameviagiza Vyama vya Ushirika nchini kuendeleza zoezi la la upandaji wa miti katika maeneo yao…

Soma Zaidi

HAKIKISHENI VIPAUMBELE VYA TUME VINATEKELEZWA - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka Watumishi wa TCDC na watendaji wa Vyama vya Ushirika kutekeleza vipaumbele vya saba(7) vya Tume kama…

Soma Zaidi

VIONGOZI WA VYAMA WATAKIWA KUTEKELEZA VIPAUMBELE VYA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson, amewataka Viongozi wa Vyama vya Ushirika Nchini kutekeleza maeneo 7 muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa Vyama ili…

Soma Zaidi