Habari na Matukio

TCDC NA ‘HANS NEUMANN STIFTUNG’ ZASAINI MAKUBALIANO

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) na Taasisi ya Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) zimesaini Randama ya makubaliano ya kuviimarisha Vyama vya Ushirika katika mikoa ya Mbeya, Songwe na…

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo Mhe. Hussen Bashe kwenye picha ya pamoja na Makamisheni wa Bodi ya Tumea ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC)na Watendaji

WAZIRI BASHE AZINDUA BODI MPYA YA KAMISHENI YA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussen Bashe, leo tarehe 24/10/2022 amezindua Bodi mpya ya Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), uzinduzi ambao umefanyika katika Ukumbi wa Kilimo 4 Jijini…

Soma Zaidi
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Adam Malima akifunga Maadhimisho  ya kimataifa ya Ushirika wa Akiba na Mikopo (ICUD) MWanza

SACCOS WEKEZENI KWENYE UCHUMI WA VIWANDA - RC MALIMA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Adam Malima   ametoa wito kwa Wanaushirika wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo kuwekeza kwenye Uchumi wa Viwanda ili kukuza hali ya Viwanda Nchini. Ameeleza…

Soma Zaidi
TCDC, MOCU, COASCO,TFC na SCCULT 1992 LTD wamesaini Mpango wa Mafunzo ya Wanachama, Viongozi na Watendaji wa Vyama Ushirika Tanzania Bara

MPANGO WA MAFUNZO YA WANACHAMA, VIONGOZI NA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA WASAINIWA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU), Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO), Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania (TFC) na Chama…

Soma Zaidi

SACCOS ZATAKIWA KUJIUNGA NA SCCULT LTD

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirikia Tanzania, Dkt. Benson Ndiege,  ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) ambavyo havijajiunga na Chama…

Soma Zaidi
Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, akitoa maelekezo katika maenesho ya ICUD- Mwanza na kushoto Mrajis wa TCDC

MFUMO WA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA UENDANE NA MIFUMO YA VYAMA VYA USHIRIKA - WAZIRI BASHE

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, ameitaka Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuhakikisha Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) unaendana na mifumo ya Vyama vya Ushirika ili iwe rahisi kwa Tume kujua…

Soma Zaidi

KAMATI YA KITAIFA YA KURATIBU HARAMBEE YA UJENZI WA ENEO LA MRADI WA KIWANDA CHA WANAWAKE YAZINDULIWA

Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania imeshiriki katika Uzinduzi wa Kamati ya Kitaifa ya kuratibu harambee ya ujenzi wa eneo la Mradi wa Kiwanda cha Wanawake Tanzania kilichoratibiwa 'Madirisha Women…

Soma Zaidi