Habari na Matangazo

MRAJIS ATOA ONYO KWA VIONGOZI WA VYAMA  WANAOISHI KATIKA UONGOZI  KIJANJA NA KUACHA KUFUATA SHERIA NA MIONGOZO YA USHIRIKA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania(TCDC), Dkt. Benson Ndiege,   ametoa onyo kwa viongozi wa Vyama vya Ushirika ambao bado wanaishi katika uongozi wa…

Soma Zaidi

CORECU YAUZA KOROSHO  TANI 3,857 KWA BEI YA WASTANI WA SHILINGI 2,094.46 MNADA WA KWANZA

Chama Kikuu cha Ushirika wa Mkoa wa Pwani, CORECU LTD leo Novemba 01, 2023 kimefanya mnada wake wa Kwanza wa zao la Korosho  katika Wilaya ya Kibiti Mkoani humo ambapo jumla ya Tani 3,857 zilipelekwa…

Soma Zaidi

RAS MWANZA AZITAKA SACCOS KUJIUNGA NA SCCULT

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza,  Elikana Balandya ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kujiunga na Muungano wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania (SCCULT) ili kuwa na…

Soma Zaidi

WANAWAKE WA SACCOS WATOA MSAADA KITUO CHA MAKAZI YA WAZEE BUKUMBI

kuelekea kilele cha  Maadhimisho ya wiki ya Vyama vya Ushirika vya Akiba na Mkopo Kitaifa Mkoani Mwanza, baadhi ya viongozi wa Jukwaa la  Wanawake na Viongozi wa  SACCOS zilizoshiriki…

Soma Zaidi

SCCULT SIMAMIENI SACCOS KUJIUNGA KWENYE MUVU

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson Ndiege ameelekeza Muungano wa Vyama Vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania (SCCULT) kuhakikisha unasimamia Vyama vya Ushirika wa…

Soma Zaidi

MAADHIMISHO YA WIKI YA VYAMA VYA USHIRIKA WA AKIBA NA MKOPO YAFUNGULIWA

Mkuu wa Wilaya Kwimba ambaye anamwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mheshimiwa Ng’wilabuzu  Ludigija amefungua Maadhimisho ya wiki ya Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mkopo Kitaifa Mkoani Mwanza leo…

Soma Zaidi
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mheshimiwa Amina Makilagi akizungumza wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wanawake wa SACCOS Kitaifa lililofanyika Jijini Mwanza, kulia Mwenyekiti wa Kongamano hilo, Somoe  Nguhwe

SACCOS MKOMBOZI WA UCHUMI KWA WANAWAKE - DC NYAMAGANA

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mheshimiwa Amina Makilagi, amesema Ushirika wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) ukitumiwa na kuongozwa vizuri ni mkombozi wa uchumi kwa wanawake nchini. Mhe. Makiagi amesema…

Soma Zaidi

WANACHAMA WA AMCOS KUNUFAIKA NA MKOPO WA MATREKTA MANYARA

Wanachama  sita wa Chama cha Msingi cha Ushirika, Mwamka AMCOS katika Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara wamekabidhiwa matrekta manne (4) na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ikiwa ni mkopo wa…

Soma Zaidi