Taarifa kwa Vyombo vya Habari

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika  kushirikiana na Wawekezaji kwa maslahi ya Wanaushirika kwa kufuata Miongozo ya Uwekezaji. Dkt.…

Soma Zaidi
MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika kufanya Mikataba kwa uwazi kwa kuhusisha wadau husika na Mikataba hiyo ili kuepusha…

Soma Zaidi
WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Watumishi Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania wameungana na wanawake wengine wa Jiji la Dodoma katika kuadhimisha Siku ya Wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka. Maadhimisho…

Soma Zaidi
Mrajis Dkt. Benson Ndiege akiongea na Waandishi wa Habari wakati wa Upandaji Miti hivi karibuni Jijini Dodoma

MRAJIS AVIAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI KUPANDA MITI NA KUTUNZA MAZINGIRA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameviagiza Vyama vya Ushirika nchini kuendeleza zoezi la la upandaji wa miti katika maeneo yao…

Soma Zaidi

HAKIKISHENI VIPAUMBELE VYA TUME VINATEKELEZWA - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka Watumishi wa TCDC na watendaji wa Vyama vya Ushirika kutekeleza vipaumbele vya saba(7) vya Tume kama…

Soma Zaidi

TUNAMUUNGANISHA MKULIMA NA MNUNUZI KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA ILI KUMPATIA BEI NZURI - RAIS DKT. SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imeamua kumuunganisha mkulima na mnunuzi pamoja  kwenye Vyama vya Ushirika vya wakulima kwa lengo la kuwawezesha…

Soma Zaidi

RAIS SAMIA AKABIDHI TREKTA KWA ISOWELU AMCOS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi zawadi ya Trekta kwa Chama cha Msingi cha Ushirika cha ISOWELU AMCOS kilichopo mkoani Njombe ikiwa ni kutambua juhudi za…

Soma Zaidi