Habari na Matukio

HAKIKISHENI VIPAUMBELE VYA TUME VINATEKELEZWA - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amewataka Watumishi wa TCDC na watendaji wa Vyama vya Ushirika kutekeleza vipaumbele vya saba(7) vya Tume kama…

Soma Zaidi

VIONGOZI WA VYAMA WATAKIWA KUTEKELEZA VIPAUMBELE VYA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson, amewataka Viongozi wa Vyama vya Ushirika Nchini kutekeleza maeneo 7 muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa Vyama ili…

Soma Zaidi

TUNAMUUNGANISHA MKULIMA NA MNUNUZI KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA ILI KUMPATIA BEI NZURI - RAIS DKT. SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imeamua kumuunganisha mkulima na mnunuzi pamoja  kwenye Vyama vya Ushirika vya wakulima kwa lengo la kuwawezesha…

Soma Zaidi

RAIS SAMIA AKABIDHI TREKTA KWA ISOWELU AMCOS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi zawadi ya Trekta kwa Chama cha Msingi cha Ushirika cha ISOWELU AMCOS kilichopo mkoani Njombe ikiwa ni kutambua juhudi za…

Soma Zaidi

MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATEMBELEA ‘KIJIJI CHA USHIRIKA’ NDANI YA NANENANE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 08 Agosti, 2023 ametembelea Kijiji cha Ushirika na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Tume ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi

SERIKALI KUONGEZA NGUVU YA USHIRIKA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amesema Serikali itaendelea kuimarisha Ushirika kwa kuongeza tija katika Kilimo kitakachochangia katika kuinua uzalishaji wa mazao na kuongeza nguvu ya Ushirika …

Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO VYAASWA KUTOA ELIMU

Mkurugenzi wa Sekta ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Saadat Musa ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika kutoa elimu ya Fedha kwa Wanachama na Umma kwa ujumla kwa lengo la kuimarisha na kuendeleza Sekta ya…

Soma Zaidi