Yanayojiri

Habari Zinazojiri

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

MRAJIS ASISITIZA UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA MASHAMBA YA USHIRIKA

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika  kushirikiana na Wawekezaji kwa maslahi ya Wanaushirika kwa kufuata… Soma Zaidi

MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

MIKATABA YA USHIRIKA IFANYIKE KWA UWAZI - MRAJIS

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amevitaka Vyama vya Ushirika kufanya Mikataba kwa uwazi kwa kuhusisha wadau husika na… Soma Zaidi

WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

WATUMISHI WANAWAKE WA TCDC WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE WA DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Watumishi Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania wameungana na wanawake wengine wa Jiji la Dodoma katika kuadhimisha Siku ya Wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi… Soma Zaidi

MAMCU YAJIIMARISHA KIUCHUMI, YAANZISHA MASHAMBA YA MFANO

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) ameeleza kuwa Suala la Vyama vya Ushirika wa Kilimo kuwa na mashamba ndiyo mwelekeo wa Ushirika nchini ambao… Soma Zaidi

VYAMA VYA USHIRIKA   VYATAKIWA KUIMARISHA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIGITALI

Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, ameeleza kuwa,   ili Ushirika uzidi kusimama na kukua vizuri ni lazima… Soma Zaidi